Hawa hawa ndio wanatamani shule zisifungwe watoto wakae shule tuuu utadhani walituzalia, alafu inajifanya kuropoka ropoka. Wakae na watoto wao wawafunze adabu kabla hawajaanza kunyooshea walimu vidole.Kuna wazazi wanakasirika watoto wake wakifunga shule ... Anajua balaa na laana imekuja nyuma
Leo hii wanakaza mpaka mshipa wa t@k0 kumtetea mtoto fedhuli aliyenyooshwa ili ufedhuli umtoke
Naona wamekimbia...Naona umechefukwaaaa kama mimi.
Afu wale vimbele front mbona sa hivi siwaoni?
Au walikuwa wanapima kina cha maji kwa toothpick?
Vyumba mbona vipo?Hii ndio ya kuinyoosha vizuri. .
Ila nawashauri kila shule itenge chumba cha kuwaadhibia watoto jeuri na kibr... Hapo kusiwepo na waalim masnicth kama yule dem aliyerokodi.
Hapo mnamfua kimya kimya. Akitoka hapo amenyooka
Si wamesema wanawapeleka shule zenye walimu sijui wa aina gani, basi wawaondoe tu tubaki na watoto wanaotaka kusoma waone kama watalaumu tena!!Habari ndo hiyo, wakimwaga mboga, sie tunamwaga ugali na kubinua kabisa mkeka na maji ya kunawa tunaoshea nywele.
Mabibi wenyewe walivyo wabishi basi.
Ila tunakomaa nao hivo hivo, hawataki....wahame shule, wahamie jela
Nasisi wazazi tubadilike.. Tuwalee watoto ktk maadiliKumbe walimu ni wengi kiasi hiki!
but mwenye uelewa achambue comment zote za walimu alafu ndo atapata taswira halisi ya jinsi walimu wetu walivyo.
yaani wote wana negative perception kwa wanafunzi alafu ndo useme kina frank wameonewa!
Hakika walikosea sana na inapaswa wapewe adhabu kali sana but kwa kuwa bado ni wanafunzi ata hawajajua nn maana ya dissertation ni bora serikali iwaonee huruma waruhusiwe kuendelea na masomo yao huenda wakawa mabalozi wazuri hapo baadae.
lilowapata laweza mpata binadamu yeyote.
Ila na nyie walimu badirikeni jaman
Walidhani hii kazi ni lelemama?Naona wamekimbia...
Fumua hao mpaka akili iwe sawa kama huna fimbo tandika na rula ya kuchorea ubaoni ..Ya Said wa Scorpion washasahau, wanaibuka na lingine.
Kazi hii jamani,
Hakimu wewe, daktari wewe, mlinzi wewe, mzazi wewe, mwamuzi wewe, ......n.k
Tutaacha kupata moto kichwani?
Watuache jamani.
Wanajifanya dunda, akija kwa ofisi ananywea kama nyanya iliyopoa barafu
Huyo bibi nae kataka, alikuwa na ugwadu wake.
Unalalaje na mjukuu wako aliye katika balekhe kali?
Yaani unajikuta tu hakimu wa kesi za majumbani

Alafu hizi kesi za kipuuzi acha tu, mtoto mwingine alilalwa na babu yake hadi kammimba then akamtoa, emagine mtoto wa form one ashatoa mimba3 na ana idadi ya wanaume 10 ambao ashalalwa nao.Huyo bibi nae kataka, alikuwa na ugwadu wake.
Unalalaje na mjukuu wako aliye katika balekhe kali?
Yaani unajikuta tu hakimu wa kesi za majumbani
Tena shwain.Si wamesema wanawapeleka shule zenye walimu sijui wa aina gani, basi wawaondoe tu tubaki na watoto wanaotaka kusoma waone kama watalaumu tena!!
Nawapenda wanafunzi wangu, ila hii mizazi yao ndio fyokolo kabisa, ndio wa kulaumiwa kwa kila kitu, nyambafu zao.
atotoHawa hawa ndio wanatamani shule zisifungwe watoto wakae shule tuuu utadhani walituzalia, alafu inajifanya kuropoka ropoka. Wakae na watoto wao wawafunze adabu kabla hawajaanza kunyoosha vidole.

Hakuna mwanafunzi alotulia eti akaonewa na mwalimu, labda huyo mwalimu ana lake jambo.Jambo kuu ni kutokumuonea mwanafunzi .... Ila mwanafunzi akijifanya jeuru lazima uwe jeuri zaidi yake
Umenikumbusha, kuna mwalimu mmoja alikosa fimbo akampiga mwanafunzi na kufuli la kufungia mlango wa darasa.Fumua hao mpaka akili iwe sawa kama huna fimbo tandika na rula ya kuchorea ubaoni ..
Wale jamaa walikosea kumfua eneo la wazi kiasi kile .....Vyumba mbona vipo?
Kuna stoo za majembe zinaitwa.
Mnamuingiza humo, anapigwa kimya kimya.
Akitoka hapo anakimbilia bombani kunywa maji apoze koo na maumivu, maana maji yote yamekamuliwa na fimbo
Watoto wengine wanapatikana wakati mayai yameshakuwa viza........ Mzazi ni kiazi na mtoto ni kaazi.Walidhani hii kazi ni lelemama?
Watoto wao wamewashindwa majumbani, kuja kutupa mizigo sie.
Mzazi anakuja bila aibu anaomba eti likizo ya mwezi wa 6 nibaki na mwanae nimfundishe maana nyumbani huwa analeta usumbufu na fujo.
Khaaaa!!!
Alikuwa haoni uzazi wa mpango?
Niache kuota nyama zilizopotea Jan-Jun, bado wanibebeshe rumbesa?
Halafu wamama wanakuwaga wabishi sana wakati watoto wanakaa kwa bibi zao.Alafu hizi kesi za kipuuzi acha tu, mtoto mwingine alilalwa na babu yake hadi kammimba tgen akamtoa, emagine mtoto wa form one ashatoa mimba3 na ana idadi ya wanaume 1o ambao ashalalwa nao.
Mama anaitwa anajitia ujuaji eti mwanangu hata ungo hajavunja mnamsingizia, anamuuliza mwanae, mtoto anasema kavunja tangu la6, akabaki analia tu.
Wanadhani malezi ni kutafuta pesa tu, then umpeleke mtoto shule nzuri, mnunulie game player, na aweke house maids wa5 basi. Watabaki kulia tu eti 'watoto wa siku hizi' wanasahau wanafanana na 'wazazi wa siku hizi'
Hapo ndipo huwa nashindwa kuwaelewa wazazi wengine, yaani anaona bora mwanae akae na mwalimu kuliko akae nae, ukifuatilia utakuta ndio hawa hawa wanazaa alafu watoto wanatupwa kwa bibi,shangazi,mjomba, nk hajazoea kubeba mizigo yake, muda wote anatafuta pa kuupeleka.Walidhani hii kazi ni lelemama?
Watoto wao wamewashindwa majumbani, kuja kutupa mizigo sie.
Mzazi anakuja bila aibu anaomba eti likizo ya mwezi wa 6 nibaki na mwanae nimfundishe maana nyumbani huwa analeta usumbufu na fujo.
Khaaaa!!!
Alikuwa haoni uzazi wa mpango?
Niache kuota nyama zilizopotea Jan-Jun, bado wanibebeshe rumbesa?