Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Nina mshkaji wangu mwalim,tulikuwa tumepanga nyumba moja sasa siku moja amerudi home kavimba vimba uso nikamuuliza vipi umepata ajali? mwanzo akanificha lkn baadae alipotulia akaniambia wanafunzi hao wamemkongoli, dah ilibidi nicheke tu kwa huruma
 
mkuu count on me !!
sina mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi coz my wife is so beautiful !!
lakini suala la ukorofi naapa kulala nao mbele ( in magufuli's voice)
afadhair awe mjinga but anajiheshimu !! nawezs sema kazi ya Mungu haina makosa !!
Lakini mwanao popoma lakin korofi... hapana.
Kuna wanafunzi korofi jamani.Kuna siku mmoja alishatutolea kisu.Alikimbia asichapwe wenzie kumkimbiza akatoa kisu ikabidi wamwache.

Narudia tena wazazi tujitahidi kutimiza wajibu wetu kwenye kulea hawa watoto hizi habari zitapungua.
 
Kazi ya ualimu ni ngumu sana na kwasasa naona dalili zote za ugumu kuongezeka na mmomonyoko wa maadili kuongezeka .Sasa hivi zaidi ya asilimia 80% ya malezi ya watoto wetu yanarekebishwa shuleni au kuharibikia shuleni. Wazazi hatukai na watoto wetu, tunawapeleka boarding schools toka chekechea na hata wakija likizo hatuongei nao muda wote tupo busy na kazi na maisha. Waliopo day nao hatushindi nao hata weekend tupo busy na mambo mengine ya dunia. NITAKUSHANGAA SANA WEWE UNAYEBEZA WALIMU WETU.
 
Nasubiri kumsikia mbunge sugu msimamo wake Uko wapi naukumbuka ule wimbo wake wa mikononi mwa polisi. . .....
 
Naisubiri bali ombi langu bado nalisisitiza, jaribu kukaa na walimu wenzako mjiulizw why now?! kuna nini tatizo ni watoto au elwalimu?!maana kwa kweli wanafunzi wa sasa ni shida.
Tatizo ni malezi hakuna kutoka kwa wazazi na jamii kwa ujumla. Sasa hivi tunategemea shule ndiyo zilee watoto wetu kwa zaidi ya asilimia 80
 
Hili suala kwa namna lilivyoshughulikiwa na serikali tusipoangalia watoto wetu watawasumbua sana walimu. Kitakachotokea elimu itashuka sana maana hasara si kwa mwalimu watasema ngoja tuyaache matoto yao manake ukiyagusa tu serikali hiyo. We should handle this matter very carefully.
 
Kuna watu wanaongea wasiyoyajua, by the way wazazi ndo tumeshindwa kuwalea watoto vyema hadi wanawapiga/kuwagomea walimu halafu walimu wakichukua hatua kulalamika kwa sana! Mara ngapi polisi wamepiga mhalifu kwa kisingizio cha kutokutii sheria bila shuruti??
Polisi wanaruhusiwa kupiga mpaka kuuwa .hata kama huna hatia.
 
Mwanafunzi Akileta ujinga dawa yake siku hizi kumtoa tu class asihudhurie kipindi chako hata usijisumbue kumchapa .
 
Achana NAHOO?! nawe ni mwalimu?! kama ndio basi lazima wanafunzi wawe manunda maana hata somo la kiswahili unashindwa kumfundisha unategemea atakuheshimu kweli?
Kati ya masomo ambayo nliferi ni ya lugha,,, ila kwinginee njoooo,,,kuhusu kiswahili nlipofika kidato cha tatu nkakutana na sentensi unazichambua kama kks au kds eti matawi sikumwamin mwalimu tena,,,, nikajikitaa kwinginee
 
Senior Boss it will make sense when you will efface or repudiate yur children's pomponsity and mischief !!

out of that, the serenity that you want in our schools will be exacerbated.
 
Nichotaka kusema were pia ungeonekana mpole ndio maana nikaacha kwani sijuagi kuvumilia ujinga + uzembe. niwie radhi kwa avatar yangu.
😀 😀 😀 😀 Pamoja sana mkuuu
 
Back
Top Bottom