Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Bahati njema ndio kwanza miaka miwili, na tayari nimeshamwandalia mazingira ambayo shari kama zako atazipitia mbali.
Let's say just saying !! unakufa kesho na mazingira yako ?
 
Mwanafunzi alinikosea, katika kumhoji akanijibu kunya huku kashika kiuno, nilipandwa na hasira nusu nimzabe kofi.
Nikamuita mzazi wake nae kichwa kama mwanae akaniletea nyodo, nikamjibu tu 'mama isiwe taabu huyu ni mwanao nimekuelewa,atavuna anachopanda' baada ya miezi mitatu wanafunzi wa kike wakapimwa ujauzito, and she was pregnant.

Hawa watoto waendekezeni tu.
 
haya Mr PAGAN I lyk jf's anonymity !!

may be am your kids teacher who knows !!


No, you're not. Na ungekuwa mwalimu wa mtoto wangu mimi na wewe tungekuwa na some issues to discuss kwasababu tunatofautiana sana kwenye mitazamo yetu na jinsi ya ku-handle situations kama hizi.
 
Kama walimu wenyewe ndiyo hawa kichwa maji bora Magufuli aangize walimu kutoka Rwanda kwa usalama wa wanafunziwa Tanzania!

Kwanini Mwl hakusikiliza utetezi wa mwanafunzi
 
Double standards, na walimu kama hawawezi ku-deal na watoto wakae nyumbani wafanye mazoezi ya ubondia.
Kwan mwanao akpgwa hvyo na video haijarekodiwa hao wanasiasa wenu watajua? Utabak unaugulia ww na huyo mtoto wako, hata hvyo mbon hayo mambo yanafanyka sana mashulen, sema hilo limevuja ndo mkajua!!!
 
Kama walimu wenyewe ndiyo hawa kichwa maji bora Magufuli aangize walimu kutoka Rwanda kwa usalama wa wanafunziwa Tanzania!

Kwanini Mwl hakusikiliza utetezi wa mwanafunzi
unahakika huyo mwanafunzi alikuwa na utetezi ?
 
No, you're not. Na ungekuwa mwalimu wa mtoto wangu mimi na wewe tungekuwa na some issues to discuss kwasababu tunatofautiana sana kwenye mitazamo yetu na jinsi ya ku-handle situations kama hizi.
You are trying to be descent through Jf, but I doubt you.
 
Hii issue ya watoto kuwa manunda inaanzia nyumbani wazaz wamefail kabisa kuwafanya wanao wawe na displine toka wakiwa wadogo na hao hao wazaz wamekuwa frontline kuwatetea wanao hata kama wamekosea bila kujua kama wanawauwa zaid kinidha

Hakuna elimu bila nidhamu fanya comparison ndogo tu watoto wanaofanya vizur darasani ni wale ambao nidhamu yao ipo juu na wachache sana tena nadra kumkuta mtukutu akawa na maendeleo mazuri class ingawa baadhi wapo

Lakin walimu nao ile hali ya kudhalaulika kijamii malipo madogo wanajikuta wanahamishia hasira zao kwa watoto hii sio nzur mwalimu kuwa na mipaka watoto wenyewe hao hawaeleweki hata kidogo usikute mtoto ana shida zake kiafya akatenguka ghafla ukapata murder case

Muhimu MZAZ MKANYE MWANAO hawa kina scorpion walianzia hukohuko
 
Huyu jamaa nahisi sio mwalimu, kaamua kutoa comedy tu JF.
Hapana mkuu,kwa maelezo aliyatoa ni dhahiri ni Mwalimu.Tena mwalim wa malezi I(descpline master).Wanafunzi wanaonza mapenzi na wenzao darasani ni wapuuzi hasa wa kiume.Sasa dawa yao ni kufukuza tu wakakae na wazazi wao maana wanatia hasira.Wakidundwa jamii inakuja juu lakini wazazi wamekosa kuwapa malezi mazuri nyumbani mzigo unabaki kwa walim
 
Hahahaha waalimu nanyie mmezidi buaaana lol.... niwape mbinu murua msipige watoto kwa mwaka mmoja tuu!!! Then tuje hapa tukutane
 
Hapana mkuu,kwa maelezo aliyatoa ni dhahiri ni Mwalimu.Tena mwalim wa malezi I(descpline master).Wanafunzi wanaonza mapenzi na wenzao darasani ni wapuuzi hasa wa kiume.Sasa dawa yao ni kufukuza tu wakakae na wazazi wao maana wanatia hasira.Wakidundwa jamii inakuja juu lakini wazazi wamekosa kuwapa malezi mazuri nyumbani mzigo unabaki kwa walim


Hapo kwenye red ndio point yangu tangu mwanzo wa topic hii. Nimesema saikolojia ndio inaleta discipline mahali popote, mwanafunzi akishajua nikileta upumbavu narudi nyumbani lazima asome. Sasa hawa wanaojiita walimu humu JF ni chenga tu. Hawajui jinsi ya kutatua matatizo kwenye kazi zao.
 
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.

Hahahaa kweli watu mmevurugwa, muwe makini msije ozea jera mkaacha familia zenu zinasumbuka kisa misifa ya kumlekebisha mtoto aliyeshindwa na wazazi waliomleta duniani.
 
Back
Top Bottom