Ni mjinga na taahira peke yake ndie mwenye uwezo wa kuona walichofanya walimu ni udhalilishaji.
Ila amini nawaambia hawa wapuuzi wa hapa jukwaani ambao hawajui lolote linaloendelea, hawaijui vizuri kazi hii ya ualimu.
Bora hata wewe uliyenusa tempo lakini umeona hali halisi ya kinachoendelea huko mashuleni, kuliko taahira anayebisha asichokijua.
Siku moja wavae viatu vyetu, waje angalau wakae wiki tu, haki vile, hawatarejea tena.
Wangapi wanaondoka katika ualimu?
Wangapi pia wanaingia?
Wakumbuke hao wazazi wao waliyezaa huyo taahira anayebisha hapa jukwaani pia kafundishwa na mwalimu.
Au kwa kuwa siku hizi fani ziko nyingi?
Pumbavu zao.
Wakajambie mbele tena.
Nimechefukwaaaa!!!!!