Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Tulipomaliza masomo waliofeli wote ndio wakaenda ualimu sasa sijui unaongea nini? By the way walimu walionifundisha mimi wengi wao walikuwa timamu, hawakuwa na akili kama zako. Na nikikutana nao mpaka kesho wanakula lager za kutosha kisha wanaondoka na nauli ya taxi.
Hiyo ni shuleni kweni !! by the way wanawake mnakuwaga na maks za ziada due to women empowerment policy !!
 
Tulipomaliza masomo waliofeli wote ndio wakaenda ualimu sasa sijui unaongea nini? By the way walimu walionifundisha mimi wengi wao walikuwa timamu, hawakuwa na akili kama zako. Na nikikutana nao mpaka kesho wanakula lager za kutosha kisha wanaondoka na nauli ya taxi.
hivi kwani mtu aliyefeli ni mtu aliyepata alama gani?? tuanzie na hapo kwanza
 
mkuu watu wanahemkwa tuu !!
mi nikawa nasubiri movie lianze mara naona " IN GOD WE TRUST" was like WTF
namlaani sana huyo mwalimu wa kike she looks like a**** one,kafaidi nini sasa hapo
 
we kama ulifeli lazima utawachukia waalimu !!
Teaching is my hobby not only professinal !!
Mbona unajidhalilisha hapa?embu jikomboe kiakili,acha kuanika ujinga wako hapa.
 
walimu nyie!
ninawachukiaga sana, unakuta kosa halihitaji ata adhabu bali ni kumshauri tu mwanafunzi ila mnakimbilia kumchapa. ndo maana wengi wenu mnaishia kulalamika tu. Na kama mnamachungu na elimu sa kwanini mliishia kuwa walimu!
post yako tu unaonekana katoto !! ngoja nisubiri watakao like !!nione mko wangapi !! tafuta potty ujisaidie totoo!!
 
walimu nyie!
ninawachukiaga sana, unakuta kosa halihitaji ata adhabu bali ni kumshauri tu mwanafunzi ila mnakimbilia kumchapa. ndo maana wengi wenu mnaishia kulalamika tu. Na kama mnamachungu na elimu sa kwanini mliishia kuwa walimu!
Ukionesha vyeti vyako na mwalimu wangu kakuzidi mbali sana, wako wanaofuata mkumbo wako ambao wana passion na kazi yao... Kisha kua mpole maana ndo walokufundisha hadi sasa unajiona mjanja ukapost humu
 
Mbona unajidhalilisha hapa?embu jikomboe kiakili,acha kuanika ujinga wako hapa.
una uhakika we we sio mjinga?

kosa langu ni ujinga au kujianika ?
Tuanzie hapo kwanza !!
 
...mi nimesoma na wanafunzi vichwa maji,sugu na walioshindikana,ila adhabu ilikuwa ni kwenda kwenu ukafundishwe na baba yako.


Ni kweli, zama za kulazimishana kusoma zilipitaga enzi za nyerere. Mimi pia nilisoma na watukutu waliojipindia vibaya, lakini wakikanyaga eneo la shule ni discipline kwenda mbele, kwasababu ilikuwa ukileta ujinga Headmaster anampigia simu babaako aje kukuchukua usiwapotezee watu muda. Swala la academy ndio usiulize, muhula ukianza mwalimu anatoa syllabus na anakwambia vitabu gani usome. Hakukuwa na haja ya kupigana vibao kwasababu hukufanya homework, utajijua mwenyewe kwasababu end of the year ukiwa bellow 50% inabidi utafute shule nyingine. Kusoma ni hiyari, vijana wanatakiwa waeleweshwe umuhimu wake, sio kupigwa.
 
Ukionesha vyeti vyako na mwalimu wangu kakuzidi mbali sana, wako wanaofuata mkumbo wako ambao wana passion na kazi yao... Kisha kua mpole maana ndo walokufundisha hadi sasa unajiona mjanja ukapost humu
Nimegraguate na honorable !!! vp mwl wako ?

usitake kunichonganisha na waalimu wenzangu bwana mdogo.
 
Unatafuta kiki JF????? Unajigamba wewe ni mwalimu unayetunza bikira za watu!!! dah bangi mbaya mweeeh!
 
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
Wanafunzi wanawadharau kwasababu ya tabia zenu mbovu za kufukuzia videmu vyao, mbona walimu wenye kufuata maadili ya kazi hawaletewi dharau kama nyinyi walimu wenye kuvalia suruali chini ya makalio?

Ukiona huwezi kufuata maadili ya kazi ya ualimu acha kazi.
 
Back
Top Bottom