mwanansao
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 205
- 219
Lah waalimu kama hawa ndiyo nawahitaji sana kwenye shule yangu ninaajili waalimu waliopitia jeshi la magereza maana wanafunzi wa sasa wanatumwa na wazazi wao nimeona elimu ya sasa imehalibiwa na wanasiasa
Haiingii akilini maafa ya Bukoba mawazili hawajaenda halafu mawazili wanashupalia kupigwa kwa mtoto mtundu
Haiingii akilini maafa ya Bukoba mawazili hawajaenda halafu mawazili wanashupalia kupigwa kwa mtoto mtundu