Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Acheni kunitafuta, hayo yamepita. Kazi sina bado mnifunge, muwe na huruma. Mi najuta kwa yaliyonikuta-Mwl Frank
 
Hiyo bodi ndio unakuta inajengwa na wazazi wa dizain hii ya jf si janga!!
Yaani wangerahisisha ile sheria ya kufukuza shule ni kuondoa pumba zooote wakahangaike nazo wenyewe tubakie na wanaotaka kusoma, elimu yenyewe kwa faida yake na wazazi wake alafu tubembelezane!!!
Hapo sasa.
Akili za wazazi na watoto zao wote sawa.
Nahisi hiyo bodi ingekuwa ushuzi mtupu.
Maana hata la kujitetea hawana.
Wakiona mmoja kalianzisha ndio wanafuata mkia, wakiulizwa walikoanzia hawajui.

Jf kweli ya wengi.
Walioelimika na wasioelimika.
 
Si kilamtu amechagua alichopenda jamaniii. Sasa lawama za nini. Kila kazi inasheria zake hakuna kazi isiyokuwa na sheria Duniani.
 
Ole wake atakaejichanganya hapo kwako Jumatatu, atakujua we ni Madame B au ni mwalimu Frank
Hahahhaahah....umenifanya nicheke kwa sauti.
Afu kuna mzazi ananifata fata sana, ngoja sasa nimpe trick za Frank bondia.
Yaani jamani shuleni kwetu kuna watoto wakorofi, mie naona tunaandaa majambazi sio raia wema.
Khaaa!!!
Kwanza shule haina uzio, kuanzia wauza mayai mpaka waokota machupa wanakatiza katikati ya shule jamani.
Afu sasa eneo shule ilipo...hahaha
Acha tu ninyamaze jamani.
Nimechefukwaaaaaa.

Yaani ni balaa.
Kuna mwanafunzi alikuja na baruti darasani, afu akaibutua katikati ya kipindi changu.
Nyie jamaniiii.
Mie ngachoka
 
Yaaaani mwalimu akinipigia mwanangu ambaye anajifanya nunda nitakuja kuwasaidia walimu tumchangie kumdunda saaaana, nyie walimu mna kazi nzito sana, tatzo watz wengi ni wanafiki saaana tunashupalia vitu vya kawaida kuliko vitu vinavyojenga maisha yetu, NASEMA HIVI DOGO AKILETA VYOKOVYOKO PIGENI TU HATA MENO MNG'OENI MAANA HAMNA NAMNA
 
Utakuja wafanyia ubaya hadi watoto wa wafila.ji, ukipatwa uje utoe ushuhuda tena hapa!
 
Yaaaani mwalimu akinipigia mwanangu ambaye anajifanya nunda nitakuja kuwasaidia walimu tumchangie kumdunda saaaana, nyie walimu mna kazi nzito sana, tatzo watz wengi ni wanafiki saaana tunashupalia vitu vya kawaida kuliko vitu vinavyojenga maisha yetu, NASEMA HIVI DOGO AKILETA VYOKOVYOKO PIGENI TU HATA MENO MNG'OENI MAANA HAMNA NAMNA
Tumeshapoa
 
Mabs pamoja sana mkuu
kwa watoto waliokulia katika familia za waungwana ni jambo la kawaida sana,nakumbuka mpaka miaka ya tisini,ulikuwa ukimnyooshea teacher ngumi,au ata kuashiria tuu umefunga ngumi,aisee watakuua,kichapo utakachokula,hata nyumbani hutakwenda siku hyo,maana unaweza ukapewa kibano kingine cha maana sana na mzazi,
 
Wasalaamu wakuu!!

kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.

Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.

maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.

(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.

(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.


Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.

Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.

wito wngu.

waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.

Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.

Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
Utajiju
 
Tena pumbafu zao mara mia.
Yaani humu kuna watu nilikuwa nawaona wa maana, ila nimewajua tabia zao za ndani kupitia uzi huu.
Mashwetani wekundu hao.
Bla bla nyingi wakati kutwa miamala kwao haisomi.
Watudharau ila wakae wakijua mwalimu ndio the first person kumtoa mtoto from zero to hero.
Wapuuzi kiwango cha lami.
 
Hahahhaahah....umenifanya nicheke kwa sauti.
Afu kuna mzazi ananifata fata sana, ngoja sasa nimpe trick za Frank bondia.
Yaani jamani shuleni kwetu kuna watoto wakorofi, mie naona tunaandaa majambazi sio raia wema.
Khaaa!!!
Kwanza shule haina uzio, kuanzia wauza mayai mpaka waokota machupa wanakatiza katikati ya shule jamani.
Afu sasa eneo shule ilipo...hahaha
Acha tu ninyamaze jamani.
Nimechefukwaaaaaa.

Yaani ni balaa.
Kuna mwanafunzi alikuja na baruti darasani, afu akaibutua katikati ya kipindi changu.
Nyie jamaniiii.
Mie ngachoka
Hahahaaaaa!! Yaani abutue baruti kwenye kipindi!! Haki hii mitoto ndio dizaini hii hii ya jf.
 
Back
Top Bottom