Umchukulie mtoto wakati jitu linakukunjia na ngumiKama wanadhani kulea adolescents ni rahisi mbona wao wanawashindwa! Mtu anashupaa kabisa eti 'ningemchukulia ni mtoto anaekuwa'
Thubutuuuu, rahisi sana kuongea, yakikukuta mbona utajitafuta.
Hatuwapigi ili wafaulu, kwa sababu wafaulu wasifaulu sie hawatusaidii chochoteIli kujiepusha na majanga bora walimu hata msiwe mna wachapa hawa wanafunzi hata kama amekosea, maana hata akifeli maisha si ya kwake, akikua baadae ndio atajua umuhimu wa shule, Jeuri muache na ujeuri wake, haya mnachapa wanafunzi haraf unafukuzwa kazi umepata faidi gani? Maisha yenyewe yalivyo magumu.
Aaaah jirani, usiniambie nawe umewahi kuwa mwalimu, ukakimbia ukatuachia msala wenyewe!!Hata Mimi nilivyo kuwa mwalimu miaka hiyo, walikuwa wanaitambua....!!
Wanaongea tu, kama rahisi mbona hawajawa walimu?Umchukulie mtoto wakati jitu linakukunjia na ngumi
Wanasiasa wanapenda distraction, yaani watu wameuwawa dom wanasiasa wote kimya, kazi wanawasupalia waalimu tu, kwa kuwa ni wanyongeTaifa limestushwa kwa kuchapwa
Makofi Mwanafunzi wa Mbeya
Day kuliko vifo vya Watafiti wa
kilimo kule Dodoma kwa
kuchomwa Moto wakidhaniwa
wanyonya damu.
Tukio la Mbeya limesahaulisha swala la Tetemeko la ardhi.
Mtoto mjinga anapaswa kula bakora hadi ujinga umtoke.
Sahivi mtoto hafukuzwi shule hadi bodi ya shule ikae wajadili, kwahiyo akikupiga January usubiri hadi bodi ikae November ndo wafanye maamuzi.... Si ujinga huu, heri apate stiki za kiuno akaugulie kwaoUnikabe au unitukane then nikuangalie tu, pigeni kelele sheria ya kutimua shule mitoto mitukutu irahisishwe, ili tuwaletee mkae nayo wenyewe mtuache tupumue.
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwani huko academy wanakwenda kufundishwa na malaika!? Si ndio sisi sisi tuliofeli? Niliwahi kufundisha academy for 1year, kule raha maana unatimua tu, sasa huku kwa wanasiasa eti tunabembelezana tu, hovyo kweli.
Si ndio wanavyosema kuwa heri waende private?Yanawatoka tu ila laiti wangejua, hivi kuna kada inaongoza kwa kukimbiwa kama hii? Hawajiulizi ni kwa nini?
Tutaelewa na tu mdogo mdogo.
MkuuSisi ni kama mazigo ya vinyesi.
Mvua, jua vyote vyetu mkuu
Nakumbuka wakati niko primary nafundisha, alikuja Barnaba boy kuja kusalimia walimu na kuwashukuru kwa kumfikisha hapo alipo.Hatuwapigi ili wafaulu, kwa sababu wafaulu wasifaulu sie hawatusaidii chochote
Tena kwenye hicho kikao na afisa elimu mkoa awepo, huu si ufala.Sahivi mtoto hafukuzwi shule hadi bodi ya shule ikae wajadili, kwahiyo akikupiga January usubiri hadi bodi ikae November ndo wafanye maamuzi.... Si ujinga huu, heri apate stiki za kiuno akaugulie kwao
Afu wale si wa BTP, wanapiga kiuoga uoga.Mkuu
Naona wale Waalimu wamemuadhibu kistaarab...... Ingekuwa ni enzi zangu namtandika kichwa cha pua anamwaga kisusio....
Kisha namtandika fimbo sawa na idadi ya nywele zake kichwani...... Hapo lazima atubu dhambi zake zote
Wale jamaa wamemtandika makofi machache sana.
Maybe huko anafundisha Ndalichako.Si ndio wanavyosema kuwa heri waende private?
Asa huko sijui kuna malaika wa kheri wanawafundisha au wanafundishwa na mawaziri wao!
Labda anafundisha Joyce wao hukoMaybe huko anafundisha Ndalichako.
Na ndio hawa kejeli kibao kwa walimu kisa kakalia kiti kinachozunguka, hakumbuki alikotoka. Anasahau hao hao waliofeli ndio walomfundisha hadi kufikia hapo alipo. Nyambafu kabisa.Nakumbuka wakati niko primary nafundisha, alikuja Barnaba boy kuja kusalimia walimu na kuwashukuru kwa kumfikisha hapo alipo.
Maana alisoma hapo.
Wachache wenye adabu hukumbuka walikitoka...hawa mamburula sasa wasiosikia la mwadhini ndo kutwa kuruka ruka kama pop corn kikaangoni.
Hapo chacha.Tena kwenye hicho kikao na afisa elimu mkoa awepo, huu si ufala.
Bado akifikishwa kwenye bodi bodi inakataa.
Hiyo bodi ndio unakuta inajengwa na wazazi wa dizain hii ya jf si janga!!Hapo chacha.
Tena pumbafu zao mara mia.Na ndio hawa kejeli kibao kwa walimu kisa kakalia kiti kinachozunguka, hakumbuki alikotoka. Anasahau hao hao waliofeli ndio walomfundisha hadi kufikia hapo alipo. Nyambafu kabisa.
Are you afraiding that I could be your daughter's teacher ?QUOTE="moghasa, post: 17953852, member: 141630"]mi sio Mywether kupigana ngumi za show off !! ukileta ujinga hata dawati inakuwa nyenzo believe me!! na ndo maana sijawai kupingwa!
Kila kazi ina changamoto, kama kweli ualimu ni wito kwako kwa nini una dhana ya ukatili kiasi hiki kwa wanafunzi? A Best teacher ever in doing what? Corporal/Capital punishment or molesting girls?