Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,104
- 165,318
Ulimwengu unamfunzaSafi kabisa, kuna mmoja huyo alitusumbua hatari, yaani bangi na viroba ndio chakula chake, nilikuja kukutana nako mwaka mmoja baada ya kumaliza kwanza kachooka yaani kashazeeka, alafu ana mialama kama jambazi, akanisalimia kwa adabu hata sikuamini.