Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

Safi kabisa, kuna mmoja huyo alitusumbua hatari, yaani bangi na viroba ndio chakula chake, nilikuja kukutana nako mwaka mmoja baada ya kumaliza kwanza kachooka yaani kashazeeka, alafu ana mialama kama jambazi, akanisalimia kwa adabu hata sikuamini.
Ulimwengu unamfunza
 
Safi kabisa, kuna mmoja huyo alitusumbua hatari, yaani bangi na viroba ndio chakula chake, nilikuja kukutana nako mwaka mmoja baada ya kumaliza kwanza kachooka yaani kashazeeka, alafu ana mialama kama jambazi, akanisalimia kwa adabu hata sikuamini.
Unakutana na mwanafunzi anayekuandikia barua ya mapenzi, ya kukuhitaji uwe mpenzi wake.
Hii kazi, acheni tuwe mabandidu
 
Mimi ningependa wabunge sugu na wanaokitwanga na kupiga cha mbeya na kumrushia maneno spika na mtukufu wasipewe adhabu ya kutolewa nje wala kukatwa posho bali wachapwe viboko na FFU.kama ni haki mwanafunzi kupigwa hivyo kisa ni sugu,mbona mjengoni masugu na walevi kibao.
 
Kweli kabisa, wanajitusi wenyewe bila kujua, watoto wanafanana na wazazi wao, kuna mmoja alikuja shule kalewa ananuka harufu za ajabu ajabu tu, kumuita mzazi wake mzazi anakuja asubuhi kalewaa na kiroba kingine kipo mfukoni, aisee tuliishia kucheka na kesi ikaisha.
Ha ha ha ha ha
 
Unakutana na mwanafunzi anayekuandikia barua ya mapenzi, ya kukuhitaji uwe mpenzi wake.
Hii kazi, acheni tuwe mabandidu
Mitoto yao ndio inatufanya tuwe mabandidu, kuna mmoja alimtusi kabisa mwalimu 'mngese'just emagine litoto la hivyo unalifanyaje!!
Kufuatilia ni livuta bangi lililokubuhu hadi anawauzia na wenzie.
 
Anachezea mateke huku camera ikiwa off 😀
Hahahaaaa!! Eti camera ikiwa off, wao wawalee watoto wao katika maadili alafu waone kama watakuja kulia lia humu, wanajitia wana hasiraaa, sasa emagine hawa wenye hasira ndio wangekuwa walimu alafu mwanafunzi amkunje ingekuwaje??
Mambo mengine ni rahisi kuongea kama hayajakukuta.
 
Mimi ningependa wabunge sugu na wanaokitwanga na kupiga cha mbeya na kumrushia maneno spika na mtukufu wasipewe adhabu ya kutolewa nje wala kukatwa posho bali wachapwe viboko na FFU.kama ni haki mwanafunzi kupigwa hivyo kisa ni sugu,mbona mjengoni masugu na walevi kibao.
Muwalete shuleni tuwashughulikie.
 
Mitoto yao ndio inatufanya tuwe mabandidu, kuna mmoja alimtusi kabisa mwalimu 'mngese'just emagine litoto la hivyo unalifanyaje!!
Kufuatilia ni livuta bangi lililokubuhu hadi anawauzia na wenzie.
Mie ningem-butcher zaidi ya wale wa ISIS.

Nakumbuka ajira ya kwanza niko ubaoni naandika, namsikia mwanafunzi anaongea huko nyuma...."mwalimu kama huyu, unambana ukutani ili umtie vizuri"
Aiseeee.....sema tu Mungu aliniongoza nikasema na roho yangu.
Tuna mitihani sana jamani.
Mungu atusimamie.
Kuanzia wazazi mpaka watoto wao ni matahira (baadhi lakini).
Na huku nilipo ndio chimbuko la hawa wanaojiita 'watoto wa mbwa'
Mahudhurio ni half-half
 
Na nyie wazazi mnaotujia usiku wa manane wakati tumepumzika na ma-baby zetu ili kusolve kesi zenu za kifamilia, mkome.

Kwani Mwenyekiti wa serikali ya mtaa au Mtendaji wake hukuwaona?
Mwanao nimfundishe, bado mambo yenu ya unyumba niyatatue.

Mnanilipa mishahara mingapi?
Cc: Evelyn Salt, atoto

Nimechefukwaaaa walahhh!!!
 
Mie ningem-butcher zaidi ya wale wa ISIS.

Nakumbuka ajira ya kwanza niko ubaoni naandika, namsikia mwanafunzi anaongea huko nyuma...."mwalimu kama huyu, unambana ukutani ili umtie vizuri"
Aiseeee.....sema tu Mungu aliniongoza nikasema na roho yangu.
Tuna mitihani sana jamani.
Mungu atusimamie.
Kuanzia wazazi mpaka watoto wao ni matahira (baadhi lakini).
Na huku nilipo ndio chimbuko la hawa wanaojiita 'watoto wa mbwa'
Mahudhurio ni half-half
Aiseeeee!!! Tunakutana na mengi sana, mtu unakuta ana watoto watatu tu anashindwa kuwalea, alafu anategemea tutende miujiza kwa watoto 600!!!
Sie sio Mungu, hata Mungu alipochukizwa alileta gharika.
 
Kiukweli jamani hawa walimu wamemtekenya huyu mtoto naomba mfuatilie historia ya mwalimu mnelamwana kipindi yuko mtwara tech sec school
 
Mie ningem-butcher zaidi ya wale wa ISIS.

Nakumbuka ajira ya kwanza niko ubaoni naandika, namsikia mwanafunzi anaongea huko nyuma...."mwalimu kama huyu, unambana ukutani ili umtie vizuri"
Aiseeee.....sema tu Mungu aliniongoza nikasema na roho yangu.
Tuna mitihani sana jamani.
Mungu atusimamie.
Kuanzia wazazi mpaka watoto wao ni matahira (baadhi lakini).
Na huku nilipo ndio chimbuko la hawa wanaojiita 'watoto wa mbwa'
Mahudhurio ni half-half
Hakuna tatizo lolote ni kijana alikuwa anabarehe na ulifanya cha maana kujifanya ujasikia,watu wanatiana kila siku ni jambo la kawaida.
 
Na nyie wazazi mnaotujia usiku wa manane wakati tumepumzika na ma-baby zetu ili kusolve kesi zenu za kifamilia, mkome.

Kwani Mwenyekiti wa serikali ya mtaa au Mtendaji wake hukuwaona?
Mwanao nimfundishe, bado mambo yenu ya unyumba niyatatue.

Mnanilipa mishahara mingapi?
Cc: Evelyn Salt, atoto

Nimechefukwaaaa walahhh!!!
Ha ha ha badala aende polisi anakuja kwa mwalimu
 
Aiseeeee!!! Tunakutana na mengi sana, mtu unakuta ana watoto watatu tu anashindwa kuwalea, alafu anategemea tutende miujiza kwa watoto 600!!!
Sie sio Mungu, hata Mungu alipochukizwa alileta gharika.
Amina.
Tena mzazi bila aibu anasema, mie huyu mtoto nimemchoka, nimemleta kwenu.
Kwani aliambiwa sie tuna makapu ya kuwabebea?
Wazazi wengine ni wasumbufu sana, sana.

Kwa vile tuna mioyo, tunavumilia, lakini yakizidi...akha!!!
Acha tu turukwe na akili aisee
 
Back
Top Bottom