We unadhani wakati Scorpion akiwa mwanafunzi alikuwaje ? THINK.msituletee tread za ajabu ajabu hapa sawa kukatwa kwako kwa mshahara kuna husiana nini na adhabu kwa mwanafunzi unajaribu kuutetea upande wako ila huna facts za muhimu umeruhusiwa kumpiga mwanafunzi mingumi..? na wewe ukifanya hivyo utaenda kuongea na scorpion mods ikiwezekana futeni hii thread anatia watu hasira tu
sala yako hata Mungu hawezi isikiliza coz now anasikiliza BBC !! Niko town hata kama sio Dar
We unadhani wakati Scorpion akiwa mwanafunzi alikuwaje ? THINK.
'am trying to be ant-scorpion.
kama mwanao ni wakike kama Yuko Tz then hayupo safe kama unavyodhani!!We mwalimu galasa tu, kuna wakati najiona mwenye bahati watoto wangu hawawezi kufundishwa na mtu kama wewe japo bado nawaonea huruma jamaa zangu wengine waliokuwepo huko unakofundisha.
kama mwanao ni wakike kama Yuko Tz then hayupo safe kama unavyodhani!!
hata kama hachapwi fimbo kuna namna!!
believe me !! Am a best teacher EVER!!
Mkuu ukishaona una hasira kaa chini jikumbushie lile songi la jamaa walimu tuna hali ngunu walimu imba kwa sauti vinginevyo badala ya kupiga utapigwa ww na hasira zakoWasalaamu wakuu!!
kwanza kabisa napenda kuwa omba mods wasiunganishe huu Uzi licha ya trend tuliyonayo, kwani Mimi ni mwalimu naomba nieleze nilivyo, yes waalimu tulivyo.
Napenda kutoa pole yangu ya dhati kabisa kwa mkuu wa shule kwa yaliyomfika, waalimu waliofikwa na janga na mtoto aliyepatwa.
maisha ya shule yana mengi, nadhani na pia ni hakika kuwa wengi humu tumepita shule ( ndio, hata la saba ni shule), Mimi kama mwalimu na kwa uzoefu wangu niliokaa kazini ningeweza kumwadhibu mtoto kama huyo wa mbeya kwa sababu zifuatazo;
(a) Ameonesha kunigomea mbele ya wanafunzi wenzake.
Kama kawaida hakuna mtu mzima yeyote ambaye anapenda kudhalilishwa mbele ya watoto.
Inatokea mwlm unataka kutoa adhabu kwa mwanafunzi eidha kwa kuwa ana kidemu chake darasani anaamua kuonesha dharau na migomo ya waziwazi. Hapo mi ambacho nafanya ni kupiga kama naua NYOKA ili wenzake wakiona wasijiingize kwenye kosa kama lake kamwe. HII INAITWA HESHIMA KWANZA, KAZI BAADAE.
(b) Mwanafunzi ameletwa Ofisini na Mwalm A ambaye anaonekana mnyonge au mpole hana makuu kwasababu hiyo mwanafunzi anamgomea adhabu eidha ya kupiga magoti au kuchapwa! wanafunzi wa aina hiyo Mimi huwa naomba SUB then naagiza mzigo wa kuni badala ya kupikia nabadili matumizi kwa manufaa ya ofisi.
(c) Nimetoka kwenye ATM nakuta mshahara Wangu umekatwa Tsh 60000 bila maelezo ya msingi, narudi shule nakutana na mtoto aliyeshindikana kwao kajichanganya mbele yangu hapo lazima ni convert tsh 60000 to 60000 sticks of coplar punishment.
Mnaojifanya kutetea humu wengi wenu hii kazi ya ualimu hamuijui au mnadhani kwa vile watoto wenu wanapenda shule, basi mnahisi ni wote dunia nzima.
Hakuna mwalimu kichaa hapa duniani ambaye mtoto hajagomea au kusumbua kupokea adhabu, atapigwa kiasi kile.
wito wngu.
waalimu wenzangu, pesa hatuna bado tunatafutwa kufungwa, unapopiga hakikisha kamera ya simu yako iko ofu.
Mpaka pale wanaotokwa mapovu hapa JF watakapowafunza maadili mema watoto wao na fimbo zitafutika zenyewe.
Kwa ukurya nilionao, ujinga darasani + ukorofi mwanao alionao, ACHUNGE SANA.
Mkuu ukishaona una hasira kaa chini jikumbushie lile songi la jamaa walimu tuna hali ngunu walimu imba kwa sauti vinginevyo badala ya kupiga utapigwa ww na hasira zako
mi sio Mywether kupigana ngumi za show off !! ukileta ujinga hata dawati inakuwa nyenzo believe me!! na ndo maana sijawai kupingwa!!Mkuu ukishaona una hasira kaa chini jikumbushie lile songi la jamaa walimu tuna hali ngunu walimu imba kwa sauti vinginevyo badala ya kupiga utapigwa ww na hasira zako
we kama ulifeli lazima utawachukia waalimu !!
Teaching is my hobby not only professinal !!
lets you are female teacher and one of your student touch your buttocks mbele ya walimu wenzio utafanyaje?Kwa kumpiga vile?Nitakuua wewe.
Kama ni mtukutu muache ni wangu.
...unajua maana ya kufeli??Tulipomaliza masomo waliofeli wote ndio wakaenda ualimu sasa sijui unaongea nini? By the way walimu walionifundisha mimi wengi wao walikuwa timamu, hawakuwa na akili kama zako. Na nikikutana nao mpaka kesho wanakula lager za kutosha kisha wanaondoka na nauli ya taxi.