Habari wanajf
Mimi ni mkristo moja kati ya ndoto zangu ni kuwa na wake wawili mmoja muislamu mwingine mkristo. Hii kitu imekuwa ikija kichwani hivi karibuni kwasababu nimekuwa na bahati ya kupata mabinti wa kislamu tena unakuta ni wife material wanastahili kuwekwa ndani na nimekuwa nikidumu nao kwenye mahusiano kwa muda mrefu.
Shida inakuja kwa Wazazi wao ili nioe binti zao ni lazima eti niibadilishe dini kwanza sasa hiki kitu sikitaki. Kwanini nataka mmoja awe wa kikristo mwingine muislamu? Kwababu ili kutocomplicate vitu especially kwa upande wa mke wa kislamu abakie na dini yake na watoto nitakaozaa nae wafate dini ya mama yao hapo nitakuwa nimewaridhisha Wazazi wake.
Naombeni ushauri nifanyeje nioe ndoa ya namna hii ya mke mmoja wa kikristo mwingine wa kislamu
Mimi ni mkristo moja kati ya ndoto zangu ni kuwa na wake wawili mmoja muislamu mwingine mkristo. Hii kitu imekuwa ikija kichwani hivi karibuni kwasababu nimekuwa na bahati ya kupata mabinti wa kislamu tena unakuta ni wife material wanastahili kuwekwa ndani na nimekuwa nikidumu nao kwenye mahusiano kwa muda mrefu.
Shida inakuja kwa Wazazi wao ili nioe binti zao ni lazima eti niibadilishe dini kwanza sasa hiki kitu sikitaki. Kwanini nataka mmoja awe wa kikristo mwingine muislamu? Kwababu ili kutocomplicate vitu especially kwa upande wa mke wa kislamu abakie na dini yake na watoto nitakaozaa nae wafate dini ya mama yao hapo nitakuwa nimewaridhisha Wazazi wake.
Naombeni ushauri nifanyeje nioe ndoa ya namna hii ya mke mmoja wa kikristo mwingine wa kislamu