Mimi mkataa ndoa naangamia rohoni: Nishaurini ili nipone

Mkuu mojawapo ya sababu ya kitokuipenda kazi ni kuwa na mkopo. Hivyo unaona kiwango cha mshahara unachopokea baada ya makato kuwa kidogo. Hii hushusha ari ya utendaji kazi na kufikia hatua ya kusema ‘naacha kazi’, sipendi kazi n.k.

Utaanzaje kupenda kazi ambayo haina returns nzuri ilihali biashara yako inatoa returns za kueleweka?

Maliza madeni, pokea mshahara wote kisha utaipenda kazi yako. Imo!
 
kwataarifa yako biashara yako imebebwa na nyota ya kazi yako,,, ukiiacha na biashara itayeyuka
Hahaaa umenikumbusha mtu mwenye mchepuko na mke mara nyingi akiacha mke na mchepuko wanaachana, bora kuacha mchepuko ila ukigusa mke tu na mchepu kwa heri.

Hapo labda aache biashara ila akiacha kazi na biashara ndio kwa heri, hataamini
 
Ajiri Mtu, ingawa cjui ni biashara ya aina gani unafanya uko mkoa wa jirani....Lakini unaweza ukaifuatilia biashara yako kwa ukaribu pia, siku izi technology ni kubwa sana, funga mifumo ya kibiashara kukupa report za kila siku, mwezi had mwaka, pia funga camera, uta access biashara yako ata ukiwa mbali, tena kwa simu yako tu ya mkononi., mambo yataenda tu.
 
Hivi siku ukiugua ghafla (siombei hivyo) nani anakusaidia? Au bado unakaa kwenu?

Kuna umri ukifika ni dhairi shairi kwamba angalau uwe na msaidizi wa kutoa msaada endapo kitatokea chochote hasa kinachohitaji privacy yako.
 
Hivi siku ukiugua ghafla (siombei hivyo) nani anakusaidia? Au bado unakaa kwenu? Kuna umri ukifika ni dhairi shairi kwamba angalau uwe na msaidizi wa kutoa msaada endapo kitatokea chochote hasa kinachohitaji privacy yako.

😅😅😅😅mkurugenzi wa kataa ndoa umefikiwa fanya uoe ukishindwa tafuta hata wa sogea tuishi shauri yako

Usiache kazi ndugu

Sikai kwetu nipo kazini..
Kwetu ni DSM na kazini ni mkoani.

Sina mpango wa kuoa na wala sina MPANGO WA KUOA.

Sijaona sababu ya kuoa
Sina nia ya kuoa

NA SIHITAJI KUOA.

#YNWA
 
kwataarifa yako biashara yako imebebwa na nyota ya kazi yako,,, ukiiacha na biashara itayeyuka

Tangia niwe kwenye hii ofisi, nimeshuhudia watu wa3 wameacha Kazi.

Wawili walifungua biashara k.koo na wanaendelea.

Mmoja alifungua biashara Mbeya mjini, ilikufa akakimbilia kwenye ajira ya NGO, Hakurudi serikalini.

Sasa kwanini Mimi niwe kwenye huyo mmoja na sio hao wawili?

#YNWA
 
Tangia niwe kwenye hii ofisi, nimeshuhudia watu wa3 wameacha Kazi.

Wawili walifungua biashara k.koo na wanaendelea.

Mmoja alifungua biashara Mbeya mjini, ilikufa akakimbilia kwenye ajira ya NGO, Hakurudi serikalini.

Sasa kwanini Mimi niwe kwenye huyo mmoja na sio hao wawili?

#YNWA
We jeurika na hako ka biznes utakuja kutamani kufuta koment humu.

Hayo ni maisha yao na siri ya mafanikio katu akuna ataekuambia vyote zaid utaambiwa juujuu tu ili uzoleke km mzoga.
 
Mkuu mojawapo ya sababu ya kitokuipenda kazi ni kuwa na mkopo. Hivyo unaona kiwango cha mshahara unachopokea baada ya makato kuwa kidogo. Hii hushusha ari ya utendaji kazi na kufikia hatua ya kusema ‘naacha kazi’, sipendi kazi n.k
Utaanzaje kupenda kazi ambayo haina returns nzuri ilihali biashara yako inatoa returns za kueleweka?
Maliza madeni, pokea mshahara wote kisha utaipenda kazi yako. Imo!

Nilianza kuichukia Kazi mara tu baada ya kurudishwa.
Nikaona ili niiache salama basi nichukue mkopo halafu nisepeee...

Nilichukua mkopo kweli Tena heavy hasa, ila imebaki kuacha Kazi ambako nasita.

Kwahiyo mkopo umeikuta chuki ila sio chuki imeikuta mkopo.

#YNWA
 
wee jeurika na ako ka biznes utakuja kutamani kufuta koment humu..

hayo ni maisha yao na siri ya mafanikio katu akuna ataekuambia vyote zaid utaambiwa juujuu tu ili uzoleke km mzoga.

Kwanini niwaze kufeli na sio kufaulu?
Wangapi wameacha Kazi na wakafaulu, kwani wao wazo lako halikuwahusi?

#YNWA
 
Back
Top Bottom