Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,915
- 30,259
- Thread starter
- #41
Emma,🙏🙏🙏 Mohamed Said umenifunza busara.
Hongera mkuu
Mimi ni mzee hapa wengi wenu ni makamo ya wanangu.
Emma,🙏🙏🙏 Mohamed Said umenifunza busara.
Hongera mkuu
Kweli kabisa mkuuEmma,
Mimi ni mzee hapa wengi wenu ni makamo ya wanangu.
Heshima kwako Mzee MohamedOto...
Sina kawaida ya kumkejeli mtu wala kujaribu kumfanya ajihisi si lolote si chochote.
Hapakuwa na haja ya hiyo ''kwikwikwi.''
Hakuna radio mashuhuri duniani ambayo haijanitafuta kufanya mahojiano na mimi.
View attachment 1755319
Hapa niko BBC Glasgow, Scotland 1991
View attachment 1755320
Hii ni V o A Washington 2011
View attachment 1755324
Radio Iran, Tehran 2007
View attachment 1755325
Hawa ni TBC 7 April 2021
View attachment 1755326
AZAM TV 2015
Nitakutafuta baada ya mfungoKolola,
Vikongwe viwili tumekutana.
Ahsante sana.
Kolola,Nitakutafuta baada ya mfungo
Inawezekana simu aliyotumia kupiga picha ilyopgwa ndo inaonyesha tarehe hyo...Ila Mzee BBC Scotland unasema ilikua 1991 wakati picha inasema 2007!
Ufafanuzi tafadhari!
Luis...Inawezekana simu aliyotumia kupiga picha ilyopgwa ndo inaonyesha tarehe hyo...
Si mtetei ila mzee katumia busara na hekima kuwapa majibu vijana
Dp800,Nakukubali sana mzee wangu vijana tuwahitaji sana watu wa Kariba yako ili kuijenga vema nchi yetu.
Karibu na kwetu kaskazini maana huku wazee wetu wamejitahidi sana kuihifadhi historia yetu na kutupa mwongozo wa kuitengeneza kesho iliyonjema
Mwamba umemvaa tena mzee wetu saidKuleta uongo wa kidini kwa kuwataja anaowaita wazee wake, akina Abdul Sykes
Mzee bado ana ushamba sana
Ni wale unaweza waita pia kama wazee wa saigonMzee,wewe Ni mtu makini..na msomi mwenye kujitambua..japo natofautiana na wewe mambo flani flani..lakini nakuheshimu Sana..
Ikitokea ukatangulia..watu wengi watasema ukweli huu
Imhotep,Sheikh Mohamed Said naona kilomita zimeenda, hivi una umri gani sheikh
MashaalahImhotep,
25 March nimefikisha miaka 69 Alhamdulilah.
Chembelecho km zimetembea.
Udini ukizidi hugeuka ujinga ndio kinachotokea kwako.Kwahiyo hii ni taarifa kabla ya habari au taarifa baada ya habari?
U met Masudi Kipanya in the library, so what? What have u two talked?
Isije kuwa ni ule uzushi wako na uongo uliozoea kuumwaga redio Nur, Iman na zingine za dini yako.
Kwa hapa hutaweza kutusokota nakuambia babu,
Sawa sawa???
Teen...Udini ni ujinga ndio kinachotokea kwako.
hapana mzee. Bali nilichoandika kimemlenga huyo niliyemquote sababu yeye ndio ameingiza udini kwenye mada.Teen...
Hapana hakuna udini katika niandikayo.
Mimi nimesahihisha historia ambayo ilikosa ukweli kwa kuwaacha wazalendo wengi waliopigania uhuru wa Tanganyika.
Hili huenda lilisasababishwa na uoga kuwa wengi waliokuwa mstari wa mbele katika TANU walikuwa Waislam ikaonekana bora historia hii ichakachuliwe.
Kuandika historia ya kweli haiwezi kuwa udini.
Teen,hapana mzee. Bali nilichoandika kimemlenga huyo niliyemquote sababu yeye ndio ameingiza udini kwenye mada.
Mzee Said Mohamed wewe ni mwamba hasa wa fasihiKUTOKA DHUHR HADI ALASIRI NA MASUDI ''MTU SPECIAL'' KIPANYA
Leo ilikuwa siku makhsusi yaani special sana kwangu kwa kuwa katika chumba kimoja na Masudi Kipanya na vijana wake ''sharp'' wa Clouds Plus.
Hiki kwa hakika si chumba kwa maana ya chumba kama tulivyozoea bali ni Maktaba ya Elite Bookstore Mbezi Samaki.
Masudi Kipanya alinikaribisha ndani ya Maktaba hii nadhifu sana si kwa kuangalia na kusoma vitabu bali kwa ajili ya kufanya kipindi cha televisheni.
Mvua kubwa iliyonyesha kipindi cha adhuhuri kwa kiasi cha saa moja hivi ilitosha kunionya kuwa ile ilikuwa tahadhari kwangu kwa mfano wa ''thunder and lightning,'' (radi na kimulimuli) katika mchezo wa Mcbeth kuwa mchana wangu hautakuwa wa kawaida.
Kwa muda wa saa mbili Masudi Kipanya akitembea katika mengi niliyopata kuandika katika historia ya Tanganyika alinirudisha nyuma miaka 100 hapa hapa Dar es Salaam ya 1920s akitaka kujua maisha ya wazee wangu waliosukuma gurudumu la historia ambayo si wengi wanaifahamu.
Masudi Kipanya kama ni mchezo wa masumbwi nitamwita, ''South Paw,'' kwa jinsi alivyonitaabisha na maswali ya kushtukiza na wakati mwingine kunibana nisema nisiyopenda kusema na wakati mwingine kunitoa kwa haraka katika niliyodhani yangefaa kusemwa.
Muda ulikwenda kwa haraka sana jua likazama nikiwa sina habari na hatujamaliza safari yetu ya miaka 100.
View attachment 1755166
Last Emperor,Mzee Said Mohamed wewe ni mwamba hasa wa fasihi
Asante Mkuu.. umenikumbusha kuhusu Prof Mazrui, kuna kitabu chake matata sana kinaitwa The Trial of ....(nimesahau). Yule bwana ni geniusLast Emperor,
Prof. Ally Mazrui alialikwa kuzungumza Cornell University New York.
Ilikuwa kuhusu sakata la Salman Rushdie.
Aliyemkaribisha na kumtambulisha alimpamba mno.
Basi Prof. aliposimama kuzungumza akamshukuru yule bwana kwa maneno haya: "Thanks for that generous introduction. "