Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,719
Mwnangu umetoa dozi ya kutosha kwa mzee mwenzangu ambaye utumwa wa kidini ulimharibu kiasi cha kutojua asubuhi ni lini na usiku ni lini. Nadhani ametoa uzi huu akidhani naye ni maarufu kiasi cha kuhangaisha watu wakijadili mkutano wake na Masudi. Nadhani angeeleza hoja au cha mno cha mkutano huu kwa jamii, ingependeza.Kwahiyo hii ni taarifa kabla ya habari au taarifa baada ya habari?
U met Masudi Kipanya in the library, so what? What have u two talked?
Isije kuwa ni ule uzushi wako na uongo uliozoea kuumwaga redio Nur, Iman na zingine za dini yako.
Kwa hapa hutaweza kutusokota nakuambia babu,
Sawa sawa???