Mara zote watu ukiwaambia habari zinazohusu ushirikina, watu huwa wanarusha mawe pasipokujua madhumun ya mawe yale, lakini huu ndo ukweli usiopingika! Kuna mti mmoja huwa unatumiwa sana na wachawi na waganga wa kienyeji, ule mti unaambiwa huwa unaonekana mara moja tu, na ukiuona lazima ushikwe tumbo la kuhara ghafla au mkojo mkali. Ukiijali tu haja, ule mti unapotea, mpaka urudi siku nyingine. Au mtu ukimwambia kuwa ziwa Tanganyika ndiko liliko soko kubwa la madawa ya kiganga na uchawi kwa Africa nzima mtu hawezi kukubali, ila ukweli upo hivyo