Mimea hatari ya kichawi

Mimea hatari ya kichawi

Kwa wasomaji wa biblia inapaswa wazifahamu "TUNGUJA". a.k.a Mandrake. Pamoja na mambo mengine ambayo biblia imenyamaza kuhusu mandrake, bado imeonesha nguvu ya mmea huu kwenye mahusiano (love), huwezi kuchomoka kabisa hata ukiwa vipi.

Mwanzo 30 : 14-17
14 Reubeni akaenda siku za mavuno ya ngano akaona tunguja kondeni, akazileta kwa Lea mamaye. Ndipo Raheli akamwambia Lea, Nipe mimi baadhi ya tunguja za mwanao.
15 Naye akamwambia, Je! Ni jambo dogo kuninyang?anya mume wangu; hata wataka kuzitwaa tunguja za mwanangu pia? Raheli akamwambia, Kwa hiyo atalala kwako usiku huu kwa tunguja za mwanao.
16 Yakobo akaja kutoka kondeni jioni, Lea akatoka kumlaki, akasema, Lazima uje kwangu, kwa sababu nimekuajiri, kwa tunguja za mwanangu; akalala kwake usiku ule.
17 Mungu akamsikia Lea, naye a
Umenifunua kuhusu tunguja za kwenye Bible
 
Hii post ni ya Kitambo lakini iko njema sana,Mshana Jr una mengi sana ya kutuelimisha ambao hatuoni mbali sio kwa macho bali kwa elimu Dunia,hii mimea noma sana na kuna mmea mwingine huku kwetu lakini sijawahi kuona wanasema ule mmea hakuna kiumbe yeyote anasogea na akitua kwenye huo mti anakufa au akipita juu yake anakufa,Waganga wanauchimba dawa kwa masharti makubwa sana so naweza amini hii MANDRAKE upo
 
Hii post ni ya Kitambo lakini iko njema sana,Mshana Jr una mengi sana ya kutuelimisha ambao hatuoni mbali sio kwa macho bali kwa elimu Dunia,hii mimea noma sana na kuna mmea mwingine huku kwetu lakini sijawahi kuona wanasema ule mmea hakuna kiumbe yeyote anasogea na akitua kwenye huo mti anakufa au akipita juu yake anakufa,Waganga wanauchimba dawa kwa masharti makubwa sana so naweza amini hii MANDRAKE upo
Ukijibiwa naomba nitag
 
Kuna ile kauliza kwamba. Kuna mmea ambao hasogelewi na mdudu yoyote. Hata akipita juu anakufa. Kama sikosei. Ndo nikwamwambia Kama ukimtajia anitag
Kuna huo mmea ni kweli bahati mbaya sana mababu zetu walituficha mengi...kwahiyo ni mmea usiojulikana na wengi...kimsingi ni mmea wa siri
 
Back
Top Bottom