Mkuu jichawi, post yako inaonesha kabisa unawahurumia wanaoziendea nguvu za giza kama suluhisho la matatizo yao, kumbe si kweli! Swali... je wewe binafsi unaitazamaje hatima yako, baada ya maisha ya hapa duniani, roho yako itakuwa wapi? Nakukaribisha umwamini Yesu usitumikishwe na dunia maana inapita na mambo yake,