Mimba za kuzimu

Mimba za kuzimu

Mkuu jichawi, post yako inaonesha kabisa unawahurumia wanaoziendea nguvu za giza kama suluhisho la matatizo yao, kumbe si kweli! Swali... je wewe binafsi unaitazamaje hatima yako, baada ya maisha ya hapa duniani, roho yako itakuwa wapi? Nakukaribisha umwamini Yesu usitumikishwe na dunia maana inapita na mambo yake,
 
Unaweza kujitolea kumloga Kiranga ili apate majanga, maana yeye haamini katika uchawi, na alishawahi kutoa offer humu ndani kuwa kama kuna mchawi yeyote amloge yeye apate majanga na hata amuue akiweza!! Lakini hakuna aliejitokeza kipindi hicho, uko tayari kwa hiyo challenge mkuu jichawi ??

Moaka juzi tu hapa nime rudia hiyo offer. Sijapata effect yoyote.

Hawa ndugu zetu wengine wanaendekeza ushirikina sana.

Kuna mama mmoja mzungu ana miaka 61. Alishika mimba akiwa na miaka 61. Naturally, bika kutumia fertility treatment.

Angekuwa bongo watu wangesema hii ni mimba ya mzimu na kusema uchawi.

Kumbe kuna a perfectly sound scientific explanation. Huyu mama alipata ajali katika miaka yake ya ujana, menstruation ika stop. Mme wake akawa ana matatizo ya kupandisha jongoo. Baadaye mmewe akafariki, akapata mwanamme mwingine. Mwanamme mwingine ndiye aliyempa mimba. Madaktari wakashangaaa sana lakini wakasema huyo mama biological clock yake ilikuwa ni sawa na ya mwanamke wa kwenye miaka ya 30s.

Kibongobongo ungeambuwa habari zote za uchawi kabla hata ya uchunguzi.
 
Moaka juzi tu hapa nime rudia hiyo offer. Sijapata effect yoyote.

Hawa ndugu zetu wengine wanaendekeza ushirikina sana.

Kuna mama mmoja mzungu ana miaka 61. Alishika mimba akiwa na miaka 61. Naturally, bika kutumia fertility treatment.

Angekuwa bongo watu wangesema hii ni mimba ya mzimu na kusema uchawi.

Kumbe kuna a perfectly sound scientific explanation. Huyu mama alipata ajali katika miaka yake ya ujana, menstruation ika stop. Mme wake akawa ana matatizo ya kupandisha jongoo. Baadaye mmewe akafariki, akapata mwanamme mwingine. Mwanamme mwingine ndiye aliyempa mimba. Madaktari wakashangaaa sana lakini wakasema huyo mama biological clock yake ilikuwa ni sawa na ya mwanamke wa kwenye miaka ya 30s.

Kibongobongo ungeambuwa habari zote za uchawi kabla hata ya uchunguzi.
kbla ya yote naomba nijue wewe ni dini gani na unaamini kuwa mungu yupo
 
Moaka juzi tu hapa nime rudia hiyo offer. Sijapata effect yoyote.

Hawa ndugu zetu wengine wanaendekeza ushirikina sana.

Kuna mama mmoja mzungu ana miaka 61. Alishika mimba akiwa na miaka 61. Naturally, bika kutumia fertility treatment.

Angekuwa bongo watu wangesema hii ni mimba ya mzimu na kusema uchawi.

Kumbe kuna a perfectly sound scientific explanation. Huyu mama alipata ajali katika miaka yake ya ujana, menstruation ika stop. Mme wake akawa ana matatizo ya kupandisha jongoo. Baadaye mmewe akafariki, akapata mwanamme mwingine. Mwanamme mwingine ndiye aliyempa mimba. Madaktari wakashangaaa sana lakini wakasema huyo mama biological clock yake ilikuwa ni sawa na ya mwanamke wa kwenye miaka ya 30s.

Kibongobongo ungeambuwa habari zote za uchawi kabla hata ya uchunguzi.
Bishana kwenye simba na yanga, Ccm na Ukawa, kuku na bata na vitu vingine.....achana na hii maneno, hizi mambo wanajua waliopitia na waliokuwa "jikoni"
 
Bishana kwenye simba na yanga, Ccm na Ukawa, kuku na bata na vitu vingine.....achana na hii maneno, hizi mambo wanajua waliopitia na waliokuwa "jikoni"
Unajuaje mimi sijapitia na sijakuwa jikoni?
 
Jamii forum ni zaidi ya uijuavyo aise,ila ndugu zangu naomba kujua ,kuna vifo vingi sana vinatokea sasa hivi vya watu kudondoka bafuni na kufariki katk kupita pita kuna stori kuwa hivyo ni vifo vya kishirikina@ naombeni mtujuze wadau
 
Inaelekea usingesoma shule pia ungebisha kama mwafrika anaweza kuandika kimombo.....usichokijua haimaanishi hakipo
Usichokijua haimaanishi hakipo.

Lakini haimaanishi kwamba kipo.

Ukisema kipo bila utafiti zaidi utakubali kwamba pembetatu duara ipo.

Toa uthibitisho kwamba mauzauza hayo yapo kiuhalisia, nje ya hadithi.
 
Jihadhari za mimba na mimba za kutafuta kwa manabii na waganga wa kienyeji.

Jaribu kufuatilia hizo mimba mpaka mwisho wake au kama watoto walizaliwa salama na kama wako hai mpaka leo hii na kama tabia zao ni za kawaida
Nimeshuhudia mara nyingi matangazo kwenye tv magazeti na radii hao wanaojiita manabii mitume na waganga wakijinasibu kuwa wamewasaidia akina mama wengi kupata ujauzito na hatimaye kujifungua watoto.

Lakini kamwe hatujawahi kuletewa mrejesho wa wale watoto maendeleo yao....kiukweli ni kwamba wengi walikufa au kupotea katika mazingira ya ajabu mno..hawa si watoto halisi.

Kujiepusha na maumivu haya nendeni hospital kapimeni wote ijulikane tatizo liko wapi au tatizo ni la nani halafu tiba yake ninini! Kama hakuna shida kila kitu kiko sawa lakini mimba hazishiki mwombeni Mungu atawajaalia mtoto wa haki...!

Msijaribu kwingineko haitawalipa.

Mkuu! Mfano tumeenda hospital ikaonekana mwanamke ndiye mwenye tatizo. Suluhisho ni nini?
 
Usichokijua haimaanishi hakipo.

Lakini haimaanishi kwamba kipo.

Ukisema kipo bila utafiti zaidi utakubali kwamba pembetatu duara ipo.

Toa uthibitisho kwamba mauzauza hayo yapo kiuhalisia, nje ya hadithi.
Dini zote zinazoeleza kuhusu uchawi ni za uongo, dunia nzima wanapofanya mambo haya hawana akili.....ila mwenye akili ni wewe peke yako.
 
Dini zote zinazoeleza kuhusu uchawi ni za uongo, dunia nzima wanapofanya mambo haya hawana akili.....ila mwenye akili ni wewe peke yako.
Dini ngapi unazijua wewe?

Umesoma vitabu vingapi vya dini tulinganishe mimi na wewe nani anajua dini zaidi?

Kama dunia nzima watu waliamini dunia iko bapa, wachache wakaamini dunia ni duara, hilo lilifanya dunia iwe bapa?

Unataka kusema kwamba wengi wakisema jua halipo litaacha kuwepo?

The truth is not democratic.

Hujajibu swali.

Unaweza kuthibitisha uchawi upo?
 
Dini ngapi unazijua wewe?

Umesoma vitabu vingapi vya dini tulinganishe mimi na wewe nani anajua dini zaidi?

Kama dunia nzima watu waliamini dunia iko bapa, wachache wakaamini dunia ni duara, hilo likifanya dunia iwe bapa?

Unataka kusema kwamba wengi wakisema jua halipo litaacha kuwepo?

The truth is not democratic.

Unaweza kuthibitisha uchawi upo?
Duh! Hebu kabla ya kuujua uchawi mjue Mungu kwanza.....au nae ni mpaka umuone kwa macho?
 
Nimemaliza, ikitokea ukamjua Mungu ndio utajua na haya yote......kumbe tatizo ni kubwa zaidi kuliko nilivyofikiria.
Hujamaliza, hata hujaanza bado.

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Unaamini katika hadithi isiyothibitishika.

Kati yako unayeamini katika kitu ambacho huwezi kuthibitisha na mimi ninayekuuliza maswali ambayo umeshindwa kuyajibu, nani ana matatizo hapa?
 
Hujamaliza, hata hujaanza bado.

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Unaamini katika hadithi isiyothibitishika.

Kati yako unayeamini katika kitu ambacho huwezi kuthibitisha na mimi ninayekuuliza maswali ambayo umeshindwa kuyajibu, nani ana matatizo hapa?
Kama umeshindwa kufunzwa dini na kumjua Mungu katika makanisa yote na misikiti kila kona, siwezi kukufundisha hapa Jf ukamjua.
 
Kama umeshindwa kufunzwa dini na kumjua Mungu katika makanisa yote na misikiti kila kona, siwezi kukufundisha hapa Jf ukamjua.
Unachojua wewe ni makanisa na misikiti tu.

Tatizo linaanzia hapo.

A little knowledge is dangerous indeed. Utashi wako unaanzia na kuishia katika makanisa na misikiti.

I have been to Dharamsala.

Hujathibitisha kwamba mungu wako huyo yupo. Huwezi.

Kwa sababu hayupo.

Na dunia yako yote imejengeka katika uongo huo.

Ndiyo maana unaamini katika ujinga kama uchawi.
 
Back
Top Bottom