Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
nimemshauri hivyo cos I have pass through the same thing,ko nna experience ya kutosha na hayo mambo
na uelewa wa hali ya juu
hujawahi kuamshwa usiku wamanane unaambiwa "NASKIAJOTO NIPEPEE"muhusika sasa anaepepelewa katoa jicho kama nini olewako speed ipunguee,utakiona utaambiwa unamnyanyasa,mara humpendi...makasheshe kibao
Nilishawahi kuamshwa saa tisa usiku nikanunue chips kavu...thanks God kulikua na bar inayokesha karibu.......Mimba kiboko!:bange:
zimwimtu,asante ndugu, navumilia tu huku nikidhani yataisha. itaniuma sana kama hali hii ikiendelea hata baada ya kujifungua..
Hata Mi nahisi hili
zimwimtu,
Vumilia ndugu, mimba ndivyo zilivyo, kama unavyosoma kwa wazoefu hapo juu! Mie kuna siku niliagizwa mishkaki, bahati mbaya hapo ninaponunua siku zote nikakuta imeisha na nisaa 5.30 usiku, nikaamua kurudi maskani mikono mitupu. Nikakuta mtu yupo getini anasubiri, macho makavuuuuuuuuu, na haongei kitu! Ilibidi nirudi kwenda kuisaka, kuja kurudi tayari inasoma saa 7 usiku, kwa sababu niliifuata mbali.
Please nakuomba umvumilie kwa hiyo miezi mitatu iliyosalia
Teeh.... teh...!!!!!Pole yako ulitaka ukimpepea afumbe macho?,
Kuna jamaa alikurupushwa saa nane za usiku mkewe kamwambia anahitaji matango jamaa akabanwa kweli ikabidi akapige hodi kwa muuza matango kwa bahati nzuri akapewa!
Kuyaleta nyumbani akaambiwa ayakatekate kisha ampe akae nayo awe anayanusa maana anapenda harufu yake!
Chezeiya mimba wewe!
wadau naomba uzoefu wenu katika hili..
mke wangu ana mimba ya miez 6 sasa na ndo mimba yake ya kwanza. amepunguza mapenzi kwangu japo si saaana ila si kama zamani asiponiona atapiga simu weeee mpaka kero, siku hizi wala, nikichelewa nakuta keshalala wala hana habari na mim.
katika mimba yake hiyo ametokea kupanda kula miwa.. ebwana ikiksekana hakukaliki hom. huwa na kawaida ya kupitia miwa pale mwenge na kumpelekea kila siku. maana ukinunua mingi ukaweka kwenye frij hataki et iaisha utam (ilimradi visa tu)
sasa jana nilichelewwa kurudi kutoka job, kupita mwenge miwa hakuna, zunguka mpaka ubungo hakuna, ikabidi mwanawane kirud hom tu, kufika tu nikajitetea kuwa nilichelewa kurudi nikakosa miwa..,
weeee, aliporomosha matusi mpaka hasira, nikamwacha aongee tu maana nilimbembeleza anisamehe nitaitafta kesho maana ilikuwa saa nne tayari hakunielewa. mpaka akamwaga maji kitandani eti nisilale mpaka miwa ipatikane..,
basi nilizunguka mpaka saa 6 ndo nikaipata buguruni, hapo tuligonga hdi muuzaji keshalala nikidanganya nataka ya kutengenezea dawa.
jaman kuweni na huruma japo kidogo...., hivi baada ya mimba atabadilika kweli au ndo atabadilika mazima my wife wangu!!!...., naumia sana, kuna vituko kibao ila cha jana ndo kiboko...
nawasilisha.
Ha ha ha ..Mimi kuna wa jirani yangu yeye alikuwa anataka chipsi tena za mangi mtaa wa tatu, na ole wake
alete za mtu mwingine balaa...kumbe anazijua!
Mwisho wa reli alikuwa anaambiwa kila jioni aje na miguu ya kuku ya kukaanga na jamaa mwenyewe 'braza men"!!
anawaza namna atakavyopita Uswazi kwenye vigenge kununua!
mwenzangu we unaona raha tuuu.....kesho ofisini full kusinzoia kulala umelala mida imekwenda,bado haujatumwa akipendacho kukila asubuh hiyo..unaenda kazini sometimes umechelewa
Hapo sio mimba tu inayomfanya afanye hivyo. Kuna lingine limejificha nyuma ya pazia.
pia miwa sio mizuri kwa mama mjamzito mtoto anazaliwa akiwa amekatikakati just ushauri tu.
wadau naomba uzoefu wenu katika hili..
mke wangu ana mimba ya miez 6 sasa na ndo mimba yake ya kwanza. amepunguza mapenzi kwangu japo si saaana ila si kama zamani asiponiona atapiga simu weeee mpaka kero, siku hizi wala, nikichelewa nakuta keshalala wala hana habari na mim.
katika mimba yake hiyo ametokea kupanda kula miwa.. ebwana ikiksekana hakukaliki hom. huwa na kawaida ya kupitia miwa pale mwenge na kumpelekea kila siku. maana ukinunua mingi ukaweka kwenye frij hataki et iaisha utam (ilimradi visa tu)
sasa jana nilichelewwa kurudi kutoka job, kupita mwenge miwa hakuna, zunguka mpaka ubungo hakuna, ikabidi mwanawane kirud hom tu, kufika tu nikajitetea kuwa nilichelewa kurudi nikakosa miwa..,
weeee, aliporomosha matusi mpaka hasira, nikamwacha aongee tu maana nilimbembeleza anisamehe nitaitafta kesho maana ilikuwa saa nne tayari hakunielewa. mpaka akamwaga maji kitandani eti nisilale mpaka miwa ipatikane..,
basi nilizunguka mpaka saa 6 ndo nikaipata buguruni, hapo tuligonga hdi muuzaji keshalala nikidanganya nataka ya kutengenezea dawa.
jaman kuweni na huruma japo kidogo...., hivi baada ya mimba atabadilika kweli au ndo atabadilika mazima my wife wangu!!!...., naumia sana, kuna vituko kibao ila cha jana ndo kiboko...
nawasilisha.