ngusekela
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 402
- 180
Pole kaka, Mimi nilikua mjamzito mwaka jana mume wangu nilikua simpendi akiwepo nyumbani ni full maugomvi yaani nilikua nasikia kumpiga kabisa, ila asipokuwepo naumia roho na namkumbuka sana. Ole wake akionja pombe siku hiyo hatutalala chumbani namwagia kitanda maji halafu nalala sebuleni hadi asubuhi,alichokua anafanya anaondoka home asubuhi anarudi usiku na wala haniulizi kabisa. Sasa hivi nimebadilika nampenda na wala simsumbui tena, hivyo vumilia tu yataisha