mkuu wew utakuwa bandidu asiye na huruma hata chembe.., hivi unaweza kulala na kumuacha mkeo analia usiku kucha sababu kakosa miwa..., na usingiz ukaja kabisa!!!!!!. sidhan kama unamaanisha ulichosema
are u serious! i need to get a medical advice haraka sana. thanks dadaa.
Wife wangu ana mimba ya miezi 7 now,alianza kunisumbua,kadri siku zilivokuwa zinaenda usumbufu ukawa unazidi kiwango,kuna siku uvumilivu ulinishinda nikamchapa kofi,tangu siku hiyo kapunguza sana upuuzi na tunapendana vizuri tu
umezidi upole, ndio keshakupanda kichwani, hio ya kumwaga maji ni indicator anakuona zoba,amka kuwa firm akifanya kitu kama hiko usimchekee muonyeshe huendezwi na tabia hio,for you two to be in harmony inabidi muwe na balanced relationship sio mmoja kufeel yuko juu ya mwenzake...
Wife wangu ana mimba ya miezi 7 now,alianza kunisumbua,kadri siku zilivokuwa zinaenda usumbufu ukawa unazidi kiwango,kuna siku uvumilivu ulinishinda nikamchapa kofi,tangu siku hiyo kapunguza sana upuuzi na tunapendana vizuri tu
sawa ushauri wako nimeuchukua, ila mpaka ajifungue kwanza. akiendelea na tabia hiyo nitachukua hatua. asante sanaumezidi upole, ndio keshakupanda kichwani, hio ya kumwaga maji ni indicator anakuona zoba,amka kuwa firm akifanya kitu kama hiko usimchekee muonyeshe huendezwi na tabia hio,for you two to be in harmony inabidi muwe na balanced relationship sio mmoja kufeel yuko juu ya mwenzake...