Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
dont loose hope.asante ndugu, navumilia tu huku nikidhani yataisha. itaniuma sana kama hali hii ikiendelea hata baada ya kujifungua..
dont loose hope.asante ndugu, navumilia tu huku nikidhani yataisha. itaniuma sana kama hali hii ikiendelea hata baada ya kujifungua..
dont loose hopeasante ndugu, navumilia tu huku nikidhani yataisha. itaniuma sana kama hali hii ikiendelea hata baada ya kujifungua..
hujawahi kuamshwa usiku wamanane unaambiwa "NASKIAJOTO NIPEPEE"muhusika sasa anaepepelewa katoa jicho kama nini olewako speed ipunguee,utakiona utaambiwa unamnyanyasa,mara humpendi...makasheshe kibao
wadau naomba uzoefu wenu katika hili..
mke wangu ana mimba ya miez 6 sasa na ndo mimba yake ya kwanza. amepunguza mapenzi kwangu japo si saaana ila si kama zamani asiponiona atapiga simu weeee mpaka kero, siku hizi wala, nikichelewa nakuta keshalala wala hana habari na mim.
katika mimba yake hiyo ametokea kupanda kula miwa.. ebwana ikiksekana hakukaliki hom. huwa na kawaida ya kupitia miwa pale mwenge na kumpelekea kila siku. maana ukinunua mingi ukaweka kwenye frij hataki et iaisha utam (ilimradi visa tu)
sasa jana nilichelewwa kurudi kutoka job, kupita mwenge miwa hakuna, zunguka mpaka ubungo hakuna, ikabidi mwanawane kirud hom tu, kufika tu nikajitetea kuwa nilichelewa kurudi nikakosa miwa..,
weeee, aliporomosha matusi mpaka hasira, nikamwacha aongee tu maana nilimbembeleza anisamehe nitaitafta kesho maana ilikuwa saa nne tayari hakunielewa. mpaka akamwaga maji kitandani eti nisilale mpaka miwa ipatikane..,
basi nilizunguka mpaka saa 6 ndo nikaipata buguruni, hapo tuligonga hdi muuzaji keshalala nikidanganya nataka ya kutengenezea dawa.
jaman kuweni na huruma japo kidogo...., hivi baada ya mimba atabadilika kweli au ndo atabadilika mazima my wife wangu!!!...., naumia sana, kuna vituko kibao ila cha jana ndo kiboko...
nawasilisha.
I can see myself in your husband, nashukuru sana kwa mawazo yako, hapo sasa naamini yataisha. Thanks mtende.pole ndugu
hiyo ni mimba tu vumilia akishajifungua atarudi kwenye hali yake ya kawaida,mimi nilipokua mjamzito mume wangu alikua akirudi nyumbani bila mahindi ya kuchoma yani halali atatafuta popote mpaka apate,siku moja alichelewa kwene kikao akakuta wachoma mahindi wamefunga,alipokuja nyumbani akanielezea kiukweli sikumwelewa yani nilianza kulia kama mtoto mdogo,akanibembeleza yani sikujiskia kabisa kunyamaza,ikabidi awashe gari saa nne hiyo akaenda haditegeta akapata mahindi ambayo hayajacomwa akanunua alipofika nyumbani ikabidi tuwashe mkaa tuanze kuchoma yani yaliiva sa saba usiku ndo moyo wangu ukatulia nikala nikalala
Nilishawahi kuamshwa saa tisa usiku nikanunue chips kavu...thanks God kulikua na bar inayokesha karibu.......Mimba kiboko!:bange:
Mkuu mbona hayo yako madogo
Mshukuru mungu hujaambiwa kaniamshie jirani nataka kumuona wakati huo ni saa 7 au 8 halafu jirani mwenyewe mwanaume
Ahahahah... #mbado