Mimba ya mke wangu inanitesa

Mimba ya mke wangu inanitesa

May be mke wangu basi ni tofauti. Maana siku za mwanzo alikuwa ananiagiza vitu vya ajabu ajabu, nilipoona atazoea nikawa napotezea... Baadae akaacha.
mmh, labda hali hiyo kwake haikuwa serious, coz nimeongea na dactari anasema ni muhimukumpatia anachotaka kama hakiadhiri afya yake, maana akikosa atakuwa na msongo wa mawazo which might lead to miscarriage.
 
Huu uzi umenichekesha sana! Hata sijui ulinipitaje. Lol!
 
wadau naomba uzoefu wenu katika hili..

mke wangu ana mimba ya miez 6 sasa na ndo mimba yake ya kwanza. amepunguza mapenzi kwangu japo si saaana ila si kama zamani asiponiona atapiga simu weeee mpaka kero, siku hizi wala, nikichelewa nakuta keshalala wala hana habari na mim.

katika mimba yake hiyo ametokea kupanda kula miwa.. ebwana ikiksekana hakukaliki hom. huwa na kawaida ya kupitia miwa pale mwenge na kumpelekea kila siku. maana ukinunua mingi ukaweka kwenye frij hataki et iaisha utam (ilimradi visa tu)
sasa jana nilichelewwa kurudi kutoka job, kupita mwenge miwa hakuna, zunguka mpaka ubungo hakuna, ikabidi mwanawane kirud hom tu, kufika tu nikajitetea kuwa nilichelewa kurudi nikakosa miwa..,

weeee, aliporomosha matusi mpaka hasira, nikamwacha aongee tu maana nilimbembeleza anisamehe nitaitafta kesho maana ilikuwa saa nne tayari hakunielewa. mpaka akamwaga maji kitandani eti nisilale mpaka miwa ipatikane..,

basi nilizunguka mpaka saa 6 ndo nikaipata buguruni, hapo tuligonga hdi muuzaji keshalala nikidanganya nataka ya kutengenezea dawa.

jaman kuweni na huruma japo kidogo...., hivi baada ya mimba atabadilika kweli au ndo atabadilika mazima my wife wangu!!!...., naumia sana, kuna vituko kibao ila cha jana ndo kiboko...

nawasilisha.
huyo hapo juu ulikimbia mateso, ukaopoa dogo dogo?
habari za leo wana chit-chat,

mim ni kijana wa miaka 28, nina galfrnd wangu ambae huwa tunakutana mara moja au mara mbili kwa mwezi kulingana na ratiba inavyoruhusu, sabab hatuishi karibu sana na kila mtu anafanya kazi, so inakuwa ngumu kukutana katikati ya wiki hivo hukutana wkend tu.

tatizo ki kwamba tukikutana bao la kwanza sichukui dakika, yaan fasta sana. ingwa hujitahidi na foreplay na kumpa orgasm kabla sijaingiza.

napumzika kama 10 min naanza round ya pili, hapo nitachukua kama 10 min kumaliza. napumzika kama 30min naenda ya tatu, hapo nakaa kama 20 min. round ya nne inakuwa poa nakaa zaid ya 30 min. ya tano mpaka anaomba kupumzika yeye mie bado.

kinachoniumiza kichwa ni kwa nin nashindwa ku-control round ya kwanza na ya pili nisichukue muda mrefu kumaliza?
wadau naomba ushauri naweza kufanya nin kuondoa tatizo hili, au ni hali ya kawaida kama nikipata tamu mara kwa mara litaisha..

nawasilisha....
 
Eeeh, humu kuna watu waongo sana jamani lol!We mwenye mdomo mrefu si umeanzisha sred kuwa mchumba wako unaishi nae mbali na mengine mengi, tena hapa lol!Ebu ona aibu wewe
 
mmh, labda hali hiyo kwake haikuwa serious, coz nimeongea na dactari anasema ni muhimukumpatia anachotaka kama hakiadhiri afya yake, maana akikosa atakuwa na msongo wa mawazo which might lead to miscarriage.

Khaa!We noma na kweli una kipaji cha utungaji ha ha ha
 
Back
Top Bottom