Mimba imenifanya nichukie kuoga

Mimba imenifanya nichukie kuoga

Asubuhi kuwa wa kwanza kuamka harafu mruke huyo baba mtoto,, toka zako nje au hata kakae umsubili aamke.
nakwambia hivi maudhi yote ya mimba atayabeba yeye........
Huu ni uchawi live. Na vipi aliyelala naye akiwa sio baba wa mtoto?
Maana nyie wanawake watu wa ajabu sana, umeolewa na Mshana Jr, unaenda kubeba mimba ya GENTAMYCINE
 
Yaani naoga basi tu ili iwe mradi. Nimetokea kuyachukia kabisa maji ya kuoga.

Ambaye amewahi kukutana na kadhia hii anajulishe alivukaje? Mimba ina wiki 10
 
Hizi tulifundishwa na bibi zetu ikikufaa chukua.

1. Asubuhi kuwa wa kwanza kuamka harafu mruke huyo baba mtoto,, toka zako nje au hata kakae umsubili aamke.
nakwambia hivi maudhi yote ya mimba atayabeba yeye........


2 vua nguo zote na uwe peke yako.
chukua maji ambayo hayajalala fresh!!!! jinyunyuzie kuanzia juu ya tumbo au kwenye maziwa na uwe umekinga bakuli au sahani yatadondokea hapo yanywe.
Hutasikia kichefu chefu wala kutapika! utakula kila kitu.
 
hahaha mkuu ata usinipe hongera.

Kwan hata mim sikupenda iwe hvo.

Wanazingua wadada.

Wa kwanza alinisalit akaleta dharau akaondoka sikumfatilia.

Wa pili, yey aliambiwa nina mke, ambay niwakwanza.
Akaondoka na ujauzto wa miez 3.

Wa tatu, yeye nilivuta kijijn single mother wa mtoto mmoja, akaniambukiza gono.

Aliondoka nae nauja uzito. Na hataki kurudi.

Kwa hiyo hapa napanga majesh upya niendeleze SEASON 4.

Nataman kuwa na family na namwomba Mungu wa nne tufke uzeen
Kikubwa malezi tu tena hao wakiume wakiwa wa njee wasumbufu sana
 
Hizi tulifundishwa na bibi zetu ikikufaa chukua.

1. Asubuhi kuwa wa kwanza kuamka harafu mruke huyo baba mtoto,, toka zako nje au hata kakae umsubili aamke.
nakwambia hivi maudhi yote ya mimba atayabeba yeye........


2 vua nguo zote na uwe peke yako.
chukua maji ambayo hayajalala fresh!!!! jinyunyuzie kuanzia juu ya tumbo au kwenye maziwa na uwe umekinga bakuli au sahani yatadondokea hapo yanywe.
Hutasikia kichefu chefu wala kutapika! utakula kila kitu.
Hiyo ya pili inafanya kazi kweli?
 
hahaha mkuu ata usinipe hongera.

Kwan hata mim sikupenda iwe hvo.

Wanazingua wadada.

Wa kwanza alinisalit akaleta dharau akaondoka sikumfatilia.

Wa pili, yey aliambiwa nina mke, ambay niwakwanza.
Akaondoka na ujauzto wa miez 3.

Wa tatu, yeye nilivuta kijijn single mother wa mtoto mmoja, akaniambukiza gono.

Aliondoka nae nauja uzito. Na hataki kurudi.

Kwa hiyo hapa napanga majesh upya niendeleze SEASON 4.

Nataman kuwa na family na namwomba Mungu wa nne tufke uzeen
Huna akili ya kukaa na wanawake
 
Mimba shikamoo aisee, hii hali ya kuchukia kuoga huwa inawakuta wengi , na kuna ile mtu anaoga ila hataki kubadili nguo. Anakuwa anavaa nguo moja wiki nzima 😂😂😂. Ni hali tu mama itapita,baba mtoto muongee akusaidie kuvuka kipindi hiki kigumu , ukishajifungua hii hali itaondoka.
 
Yaani naoga basi tu ili iwe mradi. Nimetokea kuyachukia kabisa maji ya kuoga.

Ambaye amewahi kukutana na kadhia hii anajulishe alivukaje? Mimba ina wiki 10
Ni kawaida my dear mie mke wngu alikuwa hataki kabisa kuoga hadi nkawa na kazi ya kumuogesha asubuhi na usiki
 
Back
Top Bottom