Mimba imenifanya nichukie kuoga

Mimba imenifanya nichukie kuoga

Yaani naoga basi tu ili iwe mradi. Nimetokea kuyachukia kabisa maji ya kuoga.

Ambaye amewahi kukutana na kadhia hii anajulishe alivukaje? Mimba ina wiki 10
Hii ilimtokea mama watoto pia , Miaka hiyo nakumbuka alikuwa hataki kuoga wala kufua nguo zake zozote yaani mpaka za siri, wala kuosha vyombo hataki. Yaani nilisafiri nikarudi nakuta nyumba inakaribia kuoza.., Shikamoo MIMBA
 
kila mimba huja na tabia zake, kwa kila mwanamke.

Demu wangu wa KWANZA.
alipobeba ujauzito alizidi kunipenda sana nakunizuia nistoke awe ananiona tu machon pake.
Tulipata mtoto wa KIUME

Demu wangu wa PILI.
Alipobeba ujauzito alipenda harufu ya KIKWAPA changu tu, atakuja atajilaza nakunitanua mkono kisha ataweka pua zake humo.
nikiondoka kazin ataomba shati langu, tena lile shati lenye jasho.
nilibaki kushangaa jamani hii type...
Tulipata mtoto wa KIKE

na akinusa anasema hapo moyo umetulia.

Demu wangu wa TATU alipobeba ujauzito sasa.

wacha nicheke daaa.
ALINICHUKIAAA acha, nililala store nikichelewa hom hata saut yang hakutaka kuiskia.

Mpaka aliondoka kwenda kwao(kuna uzi niliandika aliniambukza gono na akaondoka kwao) na hata kweny simu nilipo mpigia aliongea kama tuna ugomvi.
Tumepata mtoto wa kiume mwez wa 8.
Ila hajarud bado
 
kila mimba huja na tabia zake, kwa kila mwanamke.

Demu wangu wa KWANZA.
alipobeba ujauzito alizidi kunipenda sana nakunizuia nistoke awe ananiona tu machon pake.

Demu wangu wa PILI.
Alipobeba ujauzito alipenda harufu ya KIKWAPA changu tu, atakuja atajilaza nakunitanua mkono kisha ataweka pua zake humo.
nikiondoka kazin ataomba shati langu, tena lile shati lenye jasho.
nilibaki kushangaa jamani hii type...

na akinusa anasema hapo moyo umetulia.

Demu wangu wa TATU alipobeba ujauzito sasa.

wacha nicheke daaa.
ALINICHUKIAAA acha, nililala store nikichelewa hom hata saut yang hakutaka kuiskia.
Hongera mkuu, wanawake watu sio mchezo
 
Mkuu, hiyo hali ni ya kawaida sababu mwili wako unapitia mabadiliko mengi. Jaribu kuwa unaoga mida ambayo hujiskii uchovu, tumia maji ya uvuguvugu na sabuni ambazo hazina manukato. Pia oga ukiwa umekaa na kwa muda mfupi yani ndani ya dakika 5 uwe umemaliza kuoga. Siku ambazo hujiskii kabisa tumia kitambaa kujifuta.
 
kila mimba huja na tabia zake, kwa kila mwanamke.

Demu wangu wa KWANZA.
alipobeba ujauzito alizidi kunipenda sana nakunizuia nistoke awe ananiona tu machon pake.
Tulipata mtoto wa KIUME

Demu wangu wa PILI.
Alipobeba ujauzito alipenda harufu ya KIKWAPA changu tu, atakuja atajilaza nakunitanua mkono kisha ataweka pua zake humo.
nikiondoka kazin ataomba shati langu, tena lile shati lenye jasho.
nilibaki kushangaa jamani hii type...
Tulipata mtoto wa KIKE

na akinusa anasema hapo moyo umetulia.

Demu wangu wa TATU alipobeba ujauzito sasa.

wacha nicheke daaa.
ALINICHUKIAAA acha, nililala store nikichelewa hom hata saut yang hakutaka kuiskia.

Mpaka aliondoka kwenda kwao(kuna uzi niliandika aliniambukza gono na akaondoka kwao) na hata kweny simu nilipo mpigia aliongea kama tuna ugomvi.
Tumepata mtoto wa kiume mwez wa 8.
Ila hajarud bado
Wewe ni mtambo wa kutengeza Singo maza! Hufai
 
Hongera mkuu, wanawake watatu sio mchezo
hahaha mkuu ata usinipe hongera.

Kwan hata mim sikupenda iwe hvo.

Wanazingua wadada.

Wa kwanza alinisalit akaleta dharau akaondoka sikumfatilia.

Wa pili, yey aliambiwa nina mke, ambay niwakwanza.
Akaondoka na ujauzto wa miez 3.

Wa tatu, yeye nilivuta kijijn single mother wa mtoto mmoja, akaniambukiza gono.

Aliondoka nae nauja uzito. Na hataki kurudi.

Kwa hiyo hapa napanga majesh upya niendeleze SEASON 4.

Nataman kuwa na family na namwomba Mungu wa nne tufke uzeen
 
Hizi tulifundishwa na bibi zetu ikikufaa chukua.

1. Asubuhi kuwa wa kwanza kuamka harafu mruke huyo baba mtoto,, toka zako nje au hata kakae umsubili aamke.
nakwambia hivi maudhi yote ya mimba atayabeba yeye........


2 vua nguo zote na uwe peke yako.
chukua maji ambayo hayajalala fresh!!!! jinyunyuzie kuanzia juu ya tumbo au kwenye maziwa na uwe umekinga bakuli au sahani yatadondokea hapo yanywe.
Hutasikia kichefu chefu wala kutapika! utakula kila kitu.
 
Back
Top Bottom