Mimba bandia zaingia nchini

Mimba bandia zaingia nchini

Mimba INA tabia ya kunukia .mwil WA mwanamke lazima ubadilike SASA hizo fake htamweza Nani?
Haya wanawake muda WA kupiga hela huu
Mtoto WA mama mkwe alee mimba bandia Hadi akome
Kuna ya miezi mitatu
Miezi sita
Miezi Tisa etc
Mkombozi WA mchepuko .wanaume tulieni .mtapigwa matukio Hadi mkom
 
Imeonekana wanaume wanataka watoto isipokuwa wanawake hawataki kulea au kuzaa hadi wajirizishe unamwaga mihela
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Aiseee kwaajili ya kutapeli watu,hivi hizi nchi zetu huwa tunapokea hata takataka tu? Mamlaka zinaruhusu vitu kama hivi ni kwaajili ya matumizi ya nini?
 
Mtafanya tuwapige risasi tuwaue bure

Kama mnakuwa na shida na hela, bora kuomba nikutafutie kuliko hii shortcut yenu

Kwanza sichelewi kukuibia mkojo na kuukimbiza maabara wakapime kimya kimya 😅
🤣🤣🤣🤣 hebu tulieni babu.
 
Aiseee kwaajili ya kutapeli watu,hivi hizi nchi zetu huwa tunapokea hata takataka tu? Mamlaka zinaruhusu vitu kama hivi ni kwaajili ya matumizi ya nini?
Msitishike, hizo ni kwaajili ya kuigizia tu. We inakuingia akilini umdanganye mpenzi wako una mimba kwa kuvaa hayo madude!!!
 
Msitishike, hizo ni kwaajili ya kuigizia tu. We inakuingia akilini umdanganye mpenzi wako una mimba kwa kuvaa hayo madude!!!
Kuna vibaka watafanya hivyo,hasa long distance relationship, mwishoni anajifanya imetoka 😒
 
Back
Top Bottom