Mimba bandia zaingia nchini

Mimba bandia zaingia nchini

Mtu anasema ana mimba halafu anasema anahama mkoa.wewe mume WA mtu utamfata??
Mama mtu, jambo la malezi ya mimba na kuandaa mazingira ya kijacho huwa ni sensitive Kwa baadhi yetu

Hivyo tunachukulia serious sana, hatushindwi kuchukua flight ili tukajifungie na Mama kijacho kwaajili ya kukuza mimba

Na ndiyo katika hiyo stage, sisi wakongwe tunaiba mkojo na kuukimbiza maabara 😅
 
Haya wanawake muda WA kupiga hela huu
Mtoto WA mama mkwe alee mimba bandia Hadi akome
Kuna ya miezi mitatu
Miezi sita
Miezi Tisa etc
Mkombozi WA mchepuko .wanaume tulieni .mtapigwa matukio Hadi mkome
Huyu atakaye fanya hivyo ni mke au ni nani!?
Mwanaume ambae ataingizwa mkenge wa namna hiyo huyo hafai hata kuitwa mwanaume full stop
 
Mtafanya tuwapige risasi tuwaue bure

Kama mnakuwa na shida na hela, bora kuomba nikutafutie kuliko hii shortcut yenu

Kwanza sichelewi kukuibia mkojo na kuukimbiza maabara wakapime kimya kimya 😅
Ina maana hautaweza kuyaona hayo mapira pira kwenye mwili wake hadi uchukue mkojo?
 
Ina maana hautaweza kuyaona hayo mapira pira kwenye mwili wake hadi uchukue mkojo?
Kama utakuwa unaishi mbali na huyo mpenzi wako, anaweza kukudanganya bila wewe kufahamu chochote

Ila mkiwa mnaendelea kupasha kiporo Kila siku/wiki/Mwezi ni rahisi kufahamu Uongo uliopo
 
Sasa babu mkojo unauibaje?
Unataka niseme mbinu zote hapa ili mzione 😅

Mkojo utaibwa bila wewe kujua na majibu ya Negative utaletewa Whatsapp

Baada ya hapo, namwagiza CAG akukague ili unirudishie hela zangu zote nilizotumia kutunza hiyo mimba hewa 😎
 
Unataka niseme mbinu zote hapa ili mzione 😅

Mkojo utaibwa bila wewe kujua na majibu ya Negative utaletewa Whatsapp

Baada ya hapo, namwagiza CAG akukague ili unirudishie hela zangu zote nilizotumia kutunza hiyo mimba hewa 😎
Nipe mbwinu babu 🤣🤣
 
Haya wanawake muda WA kupiga hela huu
Mtoto WA mama mkwe alee mimba bandia Hadi akome
Kuna ya miezi mitatu
Miezi sita
Miezi Tisa etc
Mkombozi WA mchepuko .wanaume tulieni .mtapigwa matukio Hadi mkome
Tumekwisha!!!
 
Aaah yaani jambo dogo hilo hadi risasi jamani!!
Unajua kuna baadhi ya mimba zinatunzwa Kwa gharama kubwa sana ujue

Imagine katikati ya utunzaji wa hiyo mimba uje ujue kwamba ilikuwa hewa, utatamani kuua mtu
 
Mwanaume unaweza kusingiziwa mimba lakini sio mimba bandia, utakuwa mpumbavu kutojua mimba bandia.

Ukishaniambia una mimba yangu na nikaikubali maana yake lazima niwe nakutindua mpaka inasoma miezi nane.
Sasa kipindi chote nakuvua nitashindwa kujua hayo mamipira uliyovaa?

ndani ya mitaa ya Khost-Afghanistan.
 
Unajua kuna baadhi ya mimba zinatunzwa Kwa gharama kubwa sana ujue

Imagine katikati ya utunzaji wa hiyo mimba uje ujue kwamba ilikuwa hewa, utatamani kuua mtu
Acheni ubahili ili yasiwakute hayo🤣
 
Back
Top Bottom