The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,080
- 102,542
Wewe si ndio umesema umemiss mimba ili ile iwe yamoto.Unataka ya miezi mingapi mkuu
Wewe si ndio umesema umemiss mimba ili ile iwe yamoto.Unataka ya miezi mingapi mkuu
Sogeapo basi nikujaze. Tendea haki that fertile womb.Nimemiss Sana mimba
ohHaya wanawake muda WA kupiga hela huu
Mtoto WA mama mkwe alee mimba bandia Hadi akome
Kuna ya miezi mitatu
Miezi sita
Miezi Tisa etc
Mkombozi WA mchepuko .wanaume tulieni .mtapigwa matukio Hadi mkome
AhaaaMtafanya tuwapige risasi tuwaue bure
Kama mnakuwa na shida na hela, bora kuomba nikutafutie kuliko hii shortcut yenu
Kwanza sichelewi kukuibia mkojo na kuukimbiza maabara wakapime kimya kimya 😅
Nakuja .tuma nauliSogeapo basi nikujaze. Tendea haki that fertile womb.
Inakuwa tamuu au sioNiletee ya miezi mitatu nile nile hela kisha niseme imetoka🤣🤣🤣.
Ila hawa wanaume wa siku hizi ukimwambia una ujauzito unakuwa kama umemnyegesha na vile inakuwa ya moto kila siku anataka papuchi. Kudakwa nje nje.
Siwezi kuhudumia mimba bila kuwa naendea kuikuzia kuziaAhaaa
Utaibaje na mtu hataki muonane
Kuna watu WA long distance relationship mkuu.nadhani ndo target au waume za watuSiwezi kuhudumia mimba bila kuwa naendea kuikuzia kuzia
Wakati huo huo wa kwenda kuikuza ndiyo wakati namwibia mkojo wake kwaajili ya vipimo vya Siri Siri
Huu mtego wa mimba fake, sisi wakongwe hatukamatiki 😅
Ahaaaa chizi wewe Mzee WA fursaWewe si ndio umesema umemiss mimba ili ile iwe yamoto.
Labda hao wa long distancesKuna watu WA long distance relationship mkuu.nadhani ndo target au waume za watu
Mtu anasema ana mimba halafu anasema anahama mkoa.wewe mume WA mtu utamfata??Labda hao wa long distances
Ila Mimi pamoja na kwamba ni Mume wa mtu, inapotokea Kuna ishu ya hivyo na mchepuko
Hata kama nitakuwa nimebanwa na ratiba kiasi gani, lazima nije kufanya huo udukuzi
Kwa Dunia ya sasa, sichelewi kumpigia rafiki yangu Daktari wakati anaenda kumpima Yutia zenu hizo ampime na Mimba kimya kimya
Baadaye ataona nimemtumia majibu ya vipimo Whatsapp 🤗