Mimba bandia zaingia nchini

Mimba bandia zaingia nchini

Kwa kweli wanawake wamepania kutukomoa sisi wanaume.....tutapigwa Kila Kona....
 
mnataka kutuua tu nyie,,kwamba hatutagundilika kweli
 
Nakumbuka kuna babu mmoja alikuwa amempangishia dada mmoja africana tulikuwa majirani by then niko form 5, huyo nawazaga mpaka leo sijui aliwezaje kudanganywa mimba hadi anti yangu anajimfungua yule dada akamwambia mbabu wake amejifungua weee yule babu alilea mtoto 😀😀😀 alikuwa akipiga simu anakuja unamuona mdada huyo mbio anakuja kuazima mtoto ili mbabu akifika amkute si anajua ni wake na mchepuko wake dah baadaye yule dada kahamia zake sinza sa sjui alimwambia mbabu mtoto kafariki, maisha haya
 
Nakumbuka kuna babu mmoja alikuwa amempangishia dada mmoja africana tulikuwa majirani by then niko form 5, huyo nawazaga mpaka leo sijui aliwezaje kudanganywa mimba hadi anti yangu anajimfungua yule dada akamwambia mbabu wake amejifungua weee yule babu alilea mtoto 😀😀😀 alikuwa akipiga simu anakuja unamuona mdada huyo mbio anakuja kuazima mtoto ili mbabu akifika amkute si anajua ni wake na mchepuko wake dah baadaye yule dada kahamia zake sinza sa sjui alimwambia mbabu mtoto kafariki, maisha haya
Ukiwa mjinga ni hasara kubwa sana
 
Ukiwa mjinga ni hasara kubwa sana
Babu alikuwa anafanya shopping ya mtoto analeta nguo, baby diapers yaani kila kitu cha mtoto anaishia kupewa mtoto wa aunt yule babu alikuwa mtu wa zanzibar kwaivo alikuwa anakuja mara kwa mara tu kumuona mtoto afu mdada alikuwa mdogo yaani yule alikuwa ni umri wa babu na alikuwa anamuita ivo ivo babu yaani ilikuwa ni kituko
 
Haya wanawake muda WA kupiga hela huu
Mtoto WA mama mkwe alee mimba bandia Hadi akome
Kuna ya miezi mitatu
Miezi sita
Miezi Tisa etc
Mkombozi WA mchepuko .wanaume tulieni .mtapigwa matukio Hadi mkome
MIMI WANGU CHEUSI MANGARA.
HAPO NIMEPONA
 
Nitaliwakikisha hili kwenye kikao cha wanaume.

Tuangalie jinsi ya kupambana nalo.
 
Niletee ya miezi mitatu nile nile hela kisha niseme imetoka🤣🤣🤣.

Ila hawa wanaume wa siku hizi ukimwambia una ujauzito unakuwa kama umemnyegesha na vile inakuwa ya moto kila siku anataka papuchi. Kudakwa nje nje.
We naye sitakufunza kila kitu!!
Si unasema mimba changa inakusumbua mixer kuumwa umwa, inabidi uende home kwanza angalau mimba ikomae...
Ukiwa huko huko ndio inatoka sasa😂😂
 
Back
Top Bottom