Unajua watu huwa Wanataja hela kama vile wapo kwenye vijiwe vya Bangi. Anatamka mamilioni ya Dola kama vile anaongelea maandazi5M USD ni zaidi ya 10B za Kitanzania! Anashindwa nini kuanzisha Radio Station yake?? Ili awe free zaidi na kufanya kazi zake yeye mwenyewe?? Kipindi kama amplifier anachofanya pale Cloud's akihamishie kwenye Radio yake na apige pesa nyingi zaidi??