FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Huyo Bdozen kama amehama navyo means amemalizana na muajiri wake wa mwanzo, wame-settle accounts. Pia nazungumzia assets zilizojengeka kwa kutumia rasilimali za muajiri husika, kama Masoud amekuwa akiwaambia wasikilizaji wa radio ya muajiri kwamba waende IG na kwenye platforms zake wakaangalie katuni zake, basi na yeye inamuhusu hii, kama hafanyi hivyo, basi haimuhusu.Nimekuuliza Hamis Mandi (B Dozen) unamjua?
Kaondoka na Jina lake au kaliacha?
Kuhusu mali na jina la kipindi sifahamu lolote ila BDozen uyo uyo kaondoka na Jina lake na alikua na section yake kwenye XXL inaitwa Dozen Selection nayo aliondoka nayo. Fanya utafiti wako vizuri wengi wanakuaga na creativity zao
Nafikiri unashindwa kuelewa kitu kimoja majina ya watu hayawezi kuwa mali ya kampuni hata kidogo.
Uko kwenye social media habari nyingi anazo zitoa 98% hata kwenye Radio (clouds fm) huwezi zisikia na utakazo zisikia redioni basi utazikuta kwenye media baada ya kipindi kuisha.
Ally Mosound Nyomwa (Masoud kipanya) kaingia na jina lake clouds so unataka kusema na yeye akiondoka ataliacha?
Kipanya inafanya vizuri sana Mwananchi utasema clouds nao ndo wanabenefit apo si ndio?