Milipuko yatikisa Zanzibar

Spring Doctors wako kazini sasa, Issue ya Posho ndo inasahaulika hivyo!!!!
 
Halafu hawajui kuwa vitendo hivi vinazidi kuitenga Zbar na jumuiya ya kimataifa.

Na ndio maana anti - Zanzibar wanafanya hivi ili kuitia doa Zanzibar na watu wake kwa mwamvuli wa uislamu. Tangu Wazanzibar waamke na kudai zanzibar yao ndipo matokeo haya yanafanyika na utaona media za upande wa pili wa muungano ukizidisha chumvi katika matokeo yanayotokea zanzibar kana kwamba Tanganyika watu hawamwagiwi tindikali, kupigwa risasi, milipuko ya mabomu na kadhalika.
 



...mkuu' ni wahuni tu, kama wale walio haribu, kuvunja na kuchoma Makanisa mbalimbali hapa Tanzania (hasa kama wale wa Mbagala, baada ya kukojolewa kitabu)
 
Usemacho Barubaru ni kweli kabisa.
Kanisa katoliki limeshadai hizo repoti hadi basi. Kinachotakiwa ni Uwazi wa repoti hizo na hatua za kisheria zilizochukuliwa.
 
Mmh! Kila siku kukiwa na issue HOT ndiyo matukio yanatokea!Siyo janja ya MaCCM kutupotezea concentration ili yajiongezee posho na kulazimisha serikali mbili kwenye bunge la katiba kweli? Hasa kama hakuna maafa nitapata maswali mengi zaidi.
 
Usemacho kama kinakaukweli fulani vile ndani yake :suspicious:
 
...mkuu' ni wahuni tu, kama wale walio haribu, kuvunja na kuchoma Makanisa mbalimbali hapa Tanzania (hasa kama wale wa Mbagala, baada ya kukojolewa kitabu)

Nitapingana na wewe viongozi wetu wanapenda kutumia lugha nyepesi hivi muhuni anapata wapi mabomu?Hawa ni wahalifu wanaoharibu amani na upendo tulionao watanzania.Serikali inatakiwa iwatafute ili tuapate amani.
 
Wakati haya yanazidi kutokea.je waandish wa habar wa zanzibar ni mara ngap mmeendesha kampeni ya kupinga hivi vitendo,maana wananchi wanawasikiliza vyombo vya habar sana.Home work kwenu tafuteni hata wimbo mpya wa afande sele unaitwa Africa dini zimeletwa muwapigie hao ndugu zetu baadhi wanaojiona wao ndio wako sahihi.
 
Watu wanataka kujitenga na wameonyesha dhahir kutuchukia, sasa sijui tunawang'ang'ania wa nini?

Sisi wa chama cha mapinduzi tunataka serikali mbili na muungano ni lazima.ukibisha tunakuvua ubunge kama yule jamaa wa zenji sawa wewe? Mtu mwenyewe CCM umevamia bila kukaribishwa unatuletea za kuleta hapa? Huu ni mda wetu wa kula so tupishe. Mmxxxiiiu
 
Mkuu unastuka leo kwani kwenye safu za viongozi wa serikali ya Zanzibar wakristo ni wangapi?
ndo maana nashangaaga nikisikia watu wanasema mfumo kristo huwa sielewi.
 
Solution ya hawa magaidi hapo unguja ni kuwajazia wabongo wanne kwa kila mzenji mmoja tunapeleka wabongo milion sita hapo unguja. Case inakuwa closed
 
Nitapingana na wewe viongozi wetu wanapenda kutumia lugha nyepesi hivi muhuni anapata wapi mabomu?Hawa ni wahalifu wanaoharibu amani na upendo tulionao watanzania.Serikali inatakiwa iwatafute ili tuapate amani.
Aliyemuua yule padri si alipatikana,ulishasikia habari zake tena? hizi ni move za kuchonga,msimamo wa CDM wa kujilinda uigwe na makanisa kule Zanzibar.
 
Hapa wakuu ndiyo ninapo ona umhimu wa wale wanao taka serikali tatu.Hawa jamaa wana ona wana dhulumiwa na muungano.Hawawataki wa bara kule.Ole wako useme una itwa John au Peter umekwisha.Tenda tu dhambi sema unaitwa Seleman Bin Hemed Bin Jumaa hapo utakaribishwa hata kahawa
 
Nimbinu ya Ccm kutuhamisha kutoka kwenye katiba mpya tukalie kujadili magaidi halafu wapate mwanya wowote hata kwa Rushwa hao wajumbe alafu wampitishe Mzee wavijisent kuwa Spika
 
itakuwa ni mazoezi ya kijeshi tu, mbona mimi naangalia TBC1 sasa hivi sijaona breaking news na TBC1 ndiyo tv ya umma, lazima kwa jambo kama hili wasingeachia vyombo vingine pekee ndiyo vitoe habari. ikiwa hivyo nitaamini kweli TBC1 sio ya umma.
TBC1 bado wanaifanyia utafiti habari hii na kusubiri tamko la polisi.Wasubiri watakujulisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…