omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,444
- 2,700
Tunaweza tusikuelewe kwa sasa lakini kwa wajuzi wa mambo ya nchi hii basi wakupe japo 50/50.Potezea ya matokeo ya Csee na posho iyo.
Tunaweza tusikuelewe kwa sasa lakini kwa wajuzi wa mambo ya nchi hii basi wakupe japo 50/50.Potezea ya matokeo ya Csee na posho iyo.
Potezea ya matokeo ya Csee na posho iyo.
tunaitaji majibu IGP MWEMA na waziri wa mambo ya ndani ya nchi CHIKAWE,
Waziri kivuli tunataka ili jambo ulivalie njuga sana tupate majibu na hadidu a rejea ziwepo.kuna matukio mengi sana yametokea zanzibar hakuna majibu
Wewe unazungumzia Milipuko ya Zanzibar tu, vipi ya hapa kwetu Soweto katika Mkutano wa CDM na lile lililomkosa Mnyika Pale Ubungo na Polisi kusema limelipuka kwa bahati mbaya cha kujiuliza walikwendaje na Bomu katika mkutano wa CHADEMA pale Ubungo? kutokana na kutopatikana majibu juu ya matukio haya moja kwa moja nawahusisha POLISI na milipuko hii na inawezekana kabisa huwa wanafanya kwa malengo mahususi ya kuwahamisha watu kwenye mada muhimu zinazohusu mustakabari wa KITAIFA.
Naomba utambue nimekutukana matusi yote unayoyajua ndani ya dunia hii NYAMBAFU SANA WEWE!! watu walipoteza maisha kwa sababu ya ujinga wa CCM na Polisi wao wewe unaandika ujinga hapa.
Khee, kweli mmeamua kujitoa akili... Forodhani hotel nako mapadre wanagombea sadaka..
Sera mbaya za ccm. wameuza viwanda vijana hawana kazi ndio maana wanarubuniwa na washenzi al kaeda kirahisi