Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Wakatoliki wanaomba misamaha kila kukicha kwa kudhulumu watoto wahudumu wa Kanisa( Papa mwenyewe ameomba msamaha kwa hiyo dhulma!), Unamkumbuka Padri Kimaro? unajua yaliyojiri Moshi hivi karibuni? (Padri Mkatoliki) Je unajua Uislam unazungumziaje jambo hilo? unajua adhabu yake katika Uislam? Ni watu gani wanahangaika kuhalalisha tendo hilo(ati wanaume na wanawake waoane wao kwa wao)? angalia boriti jichoni kwako ndugu yangu, sie hatucheki nao hao!
Unajua unaudhi sana wewe! Kwani kwenye Madrsa hujui nini kinafanyika wewe???? Ngoja niwaachie vita yanu mliyoianzisha najiendea bustanini mimi