Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Naomba kuuliza, wanaojilipua kwa ajili ya kuilinda dini ya allah S.W ni wasafi? Namaanisha huwa ni wamchamungu au imani yao haba?
Kama imani na matendo zero wanapata swawabu kweli?
Kama wanaenda kujilipua wao wenyewe(normal suicide), fine enpugh..we would n't give shyt. Lakini wanapoenda kujiua ili kuuwa na watu wasiohusika, au kuwatia kilema, we can't accept that nonsense. Hata kama wameambiwa na mungu wao.
It is the same thing, mtu kama anataka kwa khiyari yake kuamini ktk dini inasema jua linazama kwene matope au kitabu chao kimeshushwa, fine enough. Lakini anapotoka na kutaka kuwaswaga watu wengine wafuate hiyo dini yake muflisi kwa nguvu, then we will have a problem and we can't accept that.