2023 Rais Samia aliruhusu kufanyika Mikutano ya Siasa lakini tumeshuhudia Mikutano kiduchu, nini kifanyike?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,981
Kwanza nimpongeze Rais Samia kwa kuruhusu Kufanyika Mikutano ya Siasa ambayo ilizuiwa kipindi cha Awamu ya 5.

Pili niwapongeze CHADEMA na CCM kwa kufanya mikutano na kusikiliza shida za Wananchi, kipekee Mh. Mbowe, Mh. Tundu Lissu na Komredi Makonda, kongole sana.

Ila kiukweli Mikutano iliyofanyika ni michache sana, mfano CHADEMA walishindwa kwenda Kanda ya Nyasa ambako maandalizi yalishafanyika Kasoro chopa tu!

Hata Komredi Makonda anasubiriwa kwa hamu mkoa wa Kilimanjaro lakini mwaka unakatika hajatokea!

Vyama vingine vyote ni tia maji tia maji, havina hata wafuasi!

Nini kifanyike 2024 tupate Mikutano ya kutosha hasa kutoka Chama kikuu cha Upinzani CHADEMA?

Nawatakia heri ya mwaka mpya!
 
Kwanza mimpongeze Mh Dr Samia Rais wa JMT kwa kuruhusu Kufanyika Mikutano ya Siasa ambayo ilizuiwa kipindi cha awamu ya 5

Pili niwapongeze Chadema na CCM kwa Kufanya mikutano na kusikiliza shida za Wananchi, kipekee mh Mbowe, mh Tundu Lisu na Komredi Makonda kongole Sana

Ila kiukweli Mikutano iliyofanyika ni michache Sana na mfano Chadema walishindwa kwenda Kanda ya Nyasa ambako maandalizi yalishafanyika Kasoro Chopa tu

Hata Komredi Makonda anasubiriwa kwa hamu mkoa wa Kilimanjaro Lakini mwaka unakatika hajatokea

Vyama vingine vyote ni tia Maji tia Maji havina hata Wafuasi

Nini kifanyike 2024 tupate Mikutano ya kutosha hasa kutoka Chama kikuu cha Upinzani Chadema?

Nawatakia heri ya mwaka mpya!
Mimi kwa upande wangu na ukweli mchungu naona kuwa 2025 ccm hatakuwa na upinzani wa kumtoa jasho.
Sasa hivi sioni chama chochote kikisimama head to head na ccm.
Watanzania tumerudi nyuma miaka 30 maana nadhani kile kipindi walichopitia enzi za jpm kimeharibu na kuteketeza kabisa uwezo wa vyama pinzani ambapo itachukua miaka kujijenga upya.
Hapo zamani, nguvu ya chadema ilikuwa vijana hasa wa vyuoni na mtandaoni ilikuwa imejikita haswa. Siku hizi kutokana na ccm kutoa zawafi ya vyeo kwa wapiga tarumbeta, vijana wa vyuo wameona bora kuwa chawa wa ccm tu maana unaweza kuambulia chochote basi mtaji wa chadema umepotea.
Tunakoelekea ni kugumu kuluko tulikotoka na ccm itaendelea kutawala kwa miaka mingi mno na safari hii zinaenda kuundwa utawala wa dynasty, yani familia fulani zitatawala na viongozi watakuwa ni kutoka kwenye koo hizo.
 
Kwanza nimpongeze Rais Samia kwa kuruhusu Kufanyika Mikutano ya Siasa ambayo ilizuiwa kipindi cha Awamu ya 5.

Pili niwapongeze CHADEMA na CCM kwa kufanya mikutano na kusikiliza shida za Wananchi, kipekee Mh. Mbowe, Mh. Tundu Lissu na Komredi Makonda, kongole sana.

Ila kiukweli Mikutano iliyofanyika ni michache sana, mfano CHADEMA walishindwa kwenda Kanda ya Nyasa ambako maandalizi yalishafanyika Kasoro chopa tu!

Hata Komredi Makonda anasubiriwa kwa hamu mkoa wa Kilimanjaro lakini mwaka unakatika hajatokea!

Vyama vingine vyote ni tia maji tia maji, havina hata wafuasi!

Nini kifanyike 2024 tupate Mikutano ya kutosha hasa kutoka Chama kikuu cha Upinzani CHADEMA?

Nawatakia heri ya mwaka mpya!
Heri ingefutwa haina tija watu wanalilia serikali iwape choppa!
 
Back
Top Bottom