Matamko ya Chadema ya kutishia Serikali
1. Hatumtambui Rais JK na serikali ya CCM, kususia hotuba ya Rais----- but kilichotokea leo hii wanagombania hadi kupiga picha nae manaake wanamtambua vilivyo
(2) Kuitisha Mkesha wa ukombozi kushinikiza Lema kutolewa Jela--- Mkesha unasambaratishwa na Slaa kusweka lupango, Mbowe akimbia kujificha hai huku Lema akiachwaa Jela kubeba Mtondoo
(3) Kuitisha maandamano nchi nzima kupinga serikali na jeshi la police kuionea Chadema--- Kilichotokea Jeshi la Police lilikoroma kidogo na cdm kufyata mkia
(4) Hatumtambui Meya wa Arusha -- Kilichotokea Meya yupo ofcn na anaongoza Jiji na vikao hadi vinvyohuzuriwa na Lema
Matamko yapo mengi lakini utekelezaji wake ni 0.000% sasa hapo Arumeru mtaishia kunawa tukubalini yaishe