Mikutano ya CDM kufunga kampeni Tengeru na USA

Mikutano ya CDM kufunga kampeni Tengeru na USA

Wana CCM popote mlipo kuweni na amani kabisa vijana wa CCM tupo imara kusimamia ushindi wetu ambao upo dhahiri kwani tutamtoa mtu kwa nok out mapema kabisa. Mikutano ya Chadema inajazwa na Vijana wenye miaka 18-19 ambao hawana shahada za kupigia kura but CCM inauhakika wakura za kutosha na kusaza kutoka kwa wakina Mama, Vijana wa makamo na Wazee hivyo ushindi kwetu ni utekelezaji wa Mkakati wa Chama
 
Kisa ni kipi hasa kupinga propaganda za Chadema ama kutangaza sera safi za CCM plz quinine JF ni jukwaa huru sio tu la watu wenye mlengo kama wako

Hata aibu huoni kuja na Multiple IDs humu ndani? Ukasahau hata kupindisha Signature Mr Emmy,Wewe ni mtu yuleyule ,i mean Mr Emmy ndo SPERM.Akili yako ni ileile,Ulipigwa ban kwa sababu ya akili yako mbovu ,coz akili bado ni hiyo hiyo.UNASTAHILI BAN Pia,MODS sikieni kilio changu
 
Hii ndio jf ya kisasa!, muda rasmi wa kumaliza rasmi kampeni ni saa 12:00 jioni!. Mpaka sasa hakuna live kokote!. Muanzisha mada toa ufafanuzi ukiambatana na sorry.


Pasco,
Si mmeanzisha thread yenu ya Kufunga kampeni za CCM leo? Sasa mbona mnandia thread yetu. Au unatuonyesha kwamba mkutano wenu umedoda na thread haina mvuto!
 
Mkutano wetu sasa umeenda vizuri sana kupita maelezo, ushindi kwetu ni Mkakati wa vijana na wazee na wakinamama hukamilisha kazi inayofanywa na vijana

Pasco,
Si mmeanzisha thread yenu ya Kufunga kampeni za CCM leo? Sasa mbona mnandia thread yetu. Au unatuonyesha kwamba mkutano wenu umedoda na thread haina mvuto!
 
Hata aibu huoni kuja na Multiple IDs humu ndani? Ukasahau hata kupindisha Signature Mr Emmy,Wewe ni mtu yuleyule ,i mean Mr Emmy ndo SPERM.Akili yako ni ileile,Ulipigwa ban kwa sababu ya akili yako mbovu ,coz akili bado ni hiyo hiyo.UNASTAHILI BAN Pia,MODS sikieni kilio changu

Unalilia nini kijana unajipendeza kwa mods wewe nani wasikie kilio chako magwanda yamekubana?
 
Mkuu,

Faiza foxy na MWITA25 wako wapi siku hizi,au wameshavuta? I mean kwenda mbele ya haki? Nahisi mmojawapo atakuwa ndo hizo SPERMS.Mods fungia hii ID

Hata mimi nahisi Mwita25 amekufa. Mungu ailaze roho yake mahala pema.
R.I.P Mwita25. Bado Rejao na Ritz
 
CCM kushindwa Arumeru itakuwa upuuzi na uzandiki, CCM ina madiwani 17 CDM 0 narudia tena CDM wakishinda najinyonga.
 
Nawashangaa hawa Chadema wanatokwa na povu bureeee I hope wamesahau Igunga, Kiteto na kwingeneko lakini makosa sio yao niya viongozi wao wanaopima ushindi kwa kuangalia Idadi ya Watu wanaohudhuria mikutano ya kampeni na sio mikakati ya chama husika
CCM kushindwa Arumeru itakuwa upuuzi na uzandiki, CCM ina madiwani 17 CDM 0 narudia tena CDM wakishinda najinyonga.
 
Unalilia nini kijana unajipendeza kwa mods wewe nani wasikie kilio chako magwanda yamekubana?

Mkuu hadi wewe umepata Likes,Duh,kumbe mko wengi wenye akili kama yako.Wewe kufa tu,kwanza huna faida duniani.
 
Mkutano wetu sasa umeenda vizuri sana kupita maelezo, ushindi kwetu ni Mkakati wa vijana na wazee na wakinamama hukamilisha kazi inayofanywa na vijana
Una akili sana umeongeza 'y' badala Mr emmy sasa imekuwa Mr emmyy. Good strategy ila ninachoweza kusema Mods wana kazi kwelikweli.

Mr emmyy
Join Date : 31st March 2012
 
Back
Top Bottom