Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 908
kama mbunge anachaguliwa na madiwani ningeweza kujuelewa!
Too low!
Madiwani wanachaguliwa na nani?
kama mbunge anachaguliwa na madiwani ningeweza kujuelewa!
Too low!
Nawashangaa hawa Chadema wanatokwa na povu bureeee I hope wamesahau Igunga, Kiteto na kwingeneko lakini makosa sio yao niya viongozi wao wanaopima ushindi kwa kuangalia Idadi ya Watu wanaohudhuria mikutano ya kampeni na sio mikakati ya chama husika
Una akili sana umeongeza 'y' badala Mr emmy sasa imekuwa Mr emmyy. Good strategy ila ninachoweza kusema Mods wana kazi kwelikweli.
Mr emmyy
Join Date : 31st March 2012
Hata walie leo usiku kucha hawabebeki na Kesho kuanzia saa 4 usiku watazima kabisa laptop ama Vcm vyao vya mchina chezea CCM weye hii ni zaidi ya uijuavyooUnalilia nini kijana unajipendeza kwa mods wewe nani wasikie kilio chako magwanda yamekubana?
Wana CCM popote mlipo kuweni na amani kabisa vijana wa CCM tupo imara kusimamia ushindi wetu ambao upo dhahiri kwani tutamtoa mtu kwa nok out mapema kabisa. Mikutano ya Chadema inajazwa na Vijana wenye miaka 18-19 ambao hawana shahada za kupigia kura but CCM inauhakika wakura za kutosha na kusaza kutoka kwa wakina Mama, Vijana wa makamo na Wazee hivyo ushindi kwetu ni utekelezaji wa Mkakati wa Chama
Una akili sana umeongeza 'y' badala Mr emmy sasa imekuwa Mr emmyy. Good strategy ila ninachoweza kusema Mods wana kazi kwelikweli.
Mr emmyy
Join Date : 31st March 2012
Mkutano wetu sasa umeenda vizuri sana kupita maelezo, ushindi kwetu ni Mkakati wa vijana na wazee na wakinamama hukamilisha kazi inayofanywa na vijana
Junior Member Array I think MODS are not serious nowadays,you see this
Chadema wahaha Tengeru, wakasa support
Mkuu hadi wewe umepata Likes,Duh,kumbe mko wengi wenye akili kama yako.Wewe kufa tu,kwanza huna faida duniani.
naona watu wa moshi wanapanda magari yao sasa kurudi kwao . watuachie Arumeru yetu.
KARIBUNI TENA MAJIRANI.
Like itanisaidia nini mimi sipo JF kutafuta Like, CCM Oyeee!!
Leo chadema wametoa kali ya mwaka wameto watu Arusha na Moshi na kuwapeleka kwanza Usa then ikawahamishia Tengeru na sasa naona Costa za Arusha - Moshi zinakula vichwa kuwarudisha makwao ila kuna habari nazifatilia hapa kuhusiana na kundi la vijana ambalo linaombwa kubaki Arumeru katika kambi ya CDM kwa ajili ya mkesha nitawapa kitachojirinaona watu wa moshi wanapanda magari yao sasa kurudi kwao . watuachie Arumeru yetu.
KARIBUNI TENA MAJIRANI.
Mr emmyy![]()
Junior Member Array
Join Date : 31st March 2012
Posts : 5
Rep Power : 302
Likes Received0
Likes Given0
What iz wrong na hiyo post unachotakiwa ni kujibu hoja na sio kutokwa na povu tu
Mkutano umekwisha wakuu najiandaa kwenda kutupia picha a video.
Alafu kwa akili yako mbovu unaidhalilisha Avatar uliyoweka hapo.Ukitaka kuitetea CCM inatakiwa uwe na akili ya Maiti-Reference,REV ROBINSON wa JFORUM