Magwandaa leo wapoleeeeeee kama wamemewagiwa pilipili.
mpuuzi wewe!
vipi star tv hawaonyeshi live?
wakubwa wote mnaoleta updates tunawashukuru sana. mpatapo nafasi wekeni picha kwenye original post!
matumizi ya mihadarati hayaruhusiwi hapa . labda kama chama chenu kinaruhusu .
vipi star tv hawaonyeshi live?
Net inasumbua kidogo. Kamanda vicent nyerere anaongea sasa.wakubwa wote mnaoleta updates tunawashukuru sana. mpatapo nafasi wekeni picha kwenye original post!
Mgwandra hawana hela za kulipia airtime kudadadeki.
Tuma picha kwa njia ya SMS bongo.mitandao inagoma kutuma picha sijui kunanini
lema ananguruma sasa wananch
Wakuu hali hapa Tenguri ni mbaya mtandao unasumbua sana msione kimya.
Kifupi mkutano wa CDM hapa umefunika sijawahi ona. Huu ni uthibitisho kuwa CDM inatisha na ni chama cha wananchi.
Mkuu mwambie Live asisahau kutembea na PEDI coz period itafumuka ghafla kutokana na mshtuko wa matokeo