Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,611
- 868
- Thread starter
- #241
Leo chadema wametoa kali ya mwaka wameto watu Arusha na Moshi na kuwapeleka kwanza Usa then ikawahamishia Tengeru na sasa naona Costa za Arusha - Moshi zinakula vichwa kuwarudisha makwao ila kuna habari nazifatilia hapa kuhusiana na kundi la vijana ambalo linaombwa kubaki Arumeru katika kambi ya CDM kwa ajili ya mkesha nitawapa kitachojiri
Majungu siyo mtaji mbona hukusema jana Lowasa alipotoka na kundi lake Monduli?