Mikopo CRDB na NMB

Mikopo CRDB na NMB

Nanda crdb processing fee na insurance ni ndogo ukilinganisha na NMB, pia riba ya crdb inapungua kadri deni linavyopungua tofauti na NMB
 
Ni Shida Sana Ndugu Yangu Hata Kumeza Mate
Kama Umekwamwa Na Mwiba Wa Samaki Shingoni 😏😑😎
Watumishi wengi wanakopa fuata mkumbo sababu wanakopesheka lakini elimu ya kutosha kuhusu mikopo wengi hawana.

Kinachowatesa watumishi, mkopo anautumia ndani ya wiki moja au mbili pesa yote inakata harafu hakuna mzunguko wa maana wa pesa alionao zaidi ya kutegemea mshahara unaobakia baada ya makato.

Mkopo umekwisha ndani ya wiki mbili lakini makato yatamtesa ndani ya miaka 7. Mwisho wa siku anaamua kwenda ku renew mkopo( anaongeza matatizo).
 
Watumishi wengi wanakopa fuata mkumbo sababu wanakopesheka lakini elimu ya kutosha kuhusu mikopo wengi hawana. Kinachowatesa watumishi, mkopo anautumia ndani ya wiki moja au mbili pesa yote inakata harafu hakuna mzunguko wa maana wa pesa alionao zaidi ya kutegemea mshahara unaobakia baada ya makato.
Mkopo umekwisha ndani ya wiki mbili lakini makato yatamtesa ndani ya miaka 7. Mwisho wa siku anaamua kwenda ku renew mkopo( anaongeza matatizo).
Ni Kweli Usemacho Ingawa Baadhi Watakuponda.
Uliona Wale Walinzi Wa Kampuni Ya G4S Walioiba Billions Lakini Walikwenda Kununua Magari, Furniture Za Millions Matokeo Yake Wakajutia

Watumishi Wanaamini Kazi Ni Milele, Wengi Sana Hukopa Sababu Yule Jamaa Yangu Kakopa

Makato Yakianza Shida Zipo Vile Vile
 
Ni Kweli Usemacho Ingawa Baadhi Watakuponda.
Uliona Wale Walinzi Wa Kampuni Ya G4S Walioiba Billions Lakini Walikwenda Kununua Magari, Furniture Za Millions Matokeo Yake Wakajutia

Watumishi Wanaamini Kazi Ni Milele, Wengi Sana Hukopa Sababu Yule Jamaa Yangu Kakopa

Makato Yakianza Shida Zipo Vile Vile
Mh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kha
Ni Kweli Usemacho Ingawa Baadhi Watakuponda.
Uliona Wale Walinzi Wa Kampuni Ya G4S Walioiba Billions Lakini Walikwenda Kununua Magari, Furniture Za Millions Matokeo Yake Wakajutia

Watumishi Wanaamini Kazi Ni Milele, Wengi Sana Hukopa Sababu Yule Jamaa Yangu Kakopa

Makato Yakianza Shida Zipo Vile Vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKuu unataka kukopa ili ufanye nini? nakushauri utafute mtu mwenye uzoefu na mikopo akupe japo abc kuhusu mikopo kwani kwa basic salary yako naona kama unachoweza kufanya kwa ufanisi labda kma una biashara ambayo una uhakika ukiongeza hiyo pesa itafanya vizuri zaid; sikushauri ukope uanze biashara mpya kwa asilimia kubwa utafeli.

Pia ni lazima ufanye hesabu zinzohusu interest yaani gharama ya huo mkopo kwani mwisho wa sku ukikopa utakatwa mkopo let say kwa miaka 5 halfu unapoke 1/3 ya mshahara ambao ni 500k hutaweza kuishi utafanya kazi kwa shida sana. Ushauri wangu jiulize unachotaka kufanya kina tija kuliko interest ya huo mkopo kwa mwezi? kama jibu ndi ndio pata ushauri endelea na wazo lako, kama jibu ni hapana basi achana na mkopo tafuta namna nyingine ya kuongeza kipato ili mutimize malengo yako.
 
Back
Top Bottom