Mikopo CRDB na NMB

Mikopo CRDB na NMB

kalooo 25594

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
300
Reaction score
194
2025 karbu na Msoma kumbe
Basi papi Mtu unakuwa huru Kama utaweza kwenda mbio,mbio za hivi,Ustaarabu,Ustaraabu.Ni Wapi wako Bora Zaidi.
 
Kuna mtu ana mshahara ka wako alichukua 11m kwa makato ya miaka 5,kwa ushauri kama unataka kufanya biashara chukua tano makato ya miaka miwili likitokea la kutokea usiumie sana,tofauti na miaka mitano afu peah riba inakuwa ndogo kidogo tofauti na wa mitano
 
Badala ya kuchukua Mkopo Bank na kulipa miezi 36 na riba juu, jiwekee akiba kwa miezi 36 kisha fanya yako!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa haraka haraka inaweza kuonekana ni wazo zuri lakini sio rafiki.

Kuna kitu kinaitwa thamani ya pesa lazima ukizingatie. Pia inategemea unataka kufanya jambo gani na huo mkopo. 10M ya leo inaweza kufanya mambo mengi tofauti na 10 M hiyo hiyo miaka mitano au kumi ijayo.

Kwa mantiki hiyo, bora uchukue hiyo pesa uwekeze sasa ikiwa fursa zipo kuliko kusubiria miaka mitano ijayo.
 
Kwa haraka haraka inaweza kuonekana ni wazo zuri lakini sio rafiki.

Kuna kitu kinaitwa thamani ya pesa lazima ukizingatie. Pia inategemea unataka kufanya jambo gani na huo mkopo. 10M ya leo inaweza kufanya mambo mengi tofauti na 10 M hiyo hiyo miaka mitano au kumi ijayo.

Kwa mantiki hiyo, bora uchukue hiyo pesa uwekeze sasa ikiwa fursa zipo kuliko kusubiria miaka mitano ijayo.
Naam

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Haya sasa, nimekutana na hii kitu mtaani ila sijui kama ni ya kweli au la. Piga simu au watembelee tawi lao

IMG-20200512-WA0042.jpg
 
Back
Top Bottom