Mikopo CRDB na NMB

Mikopo CRDB na NMB

Aisee wacha nife maskini kuliko maisha ya kukopa kopa. Una mshahara wa laki 4.2 halafu wachukue Nusu hapo mtu unaishi Dsm na familia mtatoboaje?
Kama unachukua kufanya biashara huwez liona gepu la mkopo.

Mshahara kwako utakua Ni ziada TU katika mizunguko yako ya KILA siku.

Ktk mikopo, akili yako isiwe upande wa kufeli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mtu anapotaka kuchukua mkopo ni bora aconsider mkopo atakaochukua hata kama ni kiwango kidogo na kama itakuwa ni kwa ajili ya kufanyia biashara basi ahakikishe faida anayopata kwenye hiyo biashara kwa mwezi izidi kiwango cha makato yake:

Mfano amechukua mkopo milioni 7, labda aanzishe biashara ya boda boda. Kwenye mkopo makato yake labda ni laki 2.
Hivyo kama ataanzia na boda boda 3, wiki atapata 50 elfu kwa kila boda boda hivyo inakuwa

50,000 x 3 = 150,000 kwa wiki
150,000 x4 = 600,000
Hivyo makato yake yatakuwa laki 2 lakini yeye anazalisha laki nne zaidi kwa mwezi. Hivyo maumivu ya mkopo hatoyapata kwa vile faida anayopata ni mara mbili zaidi ya mkopo. Kwa mfano kama makato ni kwa miaka 5 = Marudisho yake Bank itakuwa milioni 12.

Hivyo kwenye biashara yake ndani ya mwaka tu atakuwa ametengeneza 600,000 x 12 = 7,200,000 Hivyo hapo ana uwezo wa kupunguza deni ndani ya mwaka au anauwezo wa kuongeza pikipiki nyingine. Hivyo biashara yake itazidi kukuwa.

Na kama ataongeza pikipiki nyingine 3 atakuwa na uwezo wa kulipa deni lote Bank ndani ya miaka 2 kwa maana atakuwa na pikipiki 6 ambapo kwa mwezi atakuwa na 1,200,000 x 12 = 14,400,000.

Kwa mtizamo wangu atakuwa na uwezo wa kumaliza deni lote ndani ya miaka 2 kwa vile atakuwa tayari kwenye makato yake ya mkopo atakuwa ameshakatwa 4,800,000 hivyo anao uwezo wa kumalizia 7,200,000 iliyobaki. [emoji120][emoji120][emoji120] Huu ni mtizamo wangu binafsi

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769][/b]
 
ndio unavyokatwa marejesho yanapungua,. ila nilichomaanisha kwenye interest ni kwamba mfano NMB RIBA NI 17% Inazidishwa kwa miaka yote ambayo utakaa na fedha zao. But kwa CRDB ni kuwa riba itapigwa kadri deni linavyopungua kwa kila mwaka. I stand to be corrected
Nilipobisha ni sababu kwanza makato hayapungui huu ni mwaka wa pili, makato ni constant na benki ni hiyohiyo crdb!

Ndio maana nikasema ulichosema SIO KWELI.
 
Nilipobisha ni sababu kwanza makato hayapungui huu ni mwaka wa pili, makato ni constant na benki ni hiyohiyo crdb!

Ndio maana nikasema ulichosema SIO KWELI.
Hukunielewa, makato hayapungui hadi unamaliza mkopo, kinachopungua ni riba. makato yakipungua mkopo hauwezi kuisha
 
Nilichogundua, wafanyakazi wengi wa serikali ambao mishahara yao ni kima cha chini ni ngumu sana kujenga au kufanya jambo lolote la maendeleo bila ya kuchukua mkopo. So kutegemea mshahara ni sawa na kurudi nyuma kimaendeleo hivyo ni afadhali kuchukua mkopo [emoji120][emoji120][emoji120]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
OK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mtu anapotaka kuchukua mkopo ni bora aconsider mkopo atakaochukua hata kama ni kiwango kidogo na kama itakuwa ni kwa ajili ya kufanyia biashara basi ahakikishe faida anayopata kwenye hiyo biashara kwa mwezi izidi kiwango cha makato yake:
Mfano amechukua mkopo milioni 7, labda aanzishe biashara ya boda boda. Kwenye mkopo makato yake labda ni laki 2.
Hivyo kama ataanzia na boda boda 3, wiki atapata 50 elfu kwa kila boda boda hivyo inakuwa
50,000 x 3 = 150,000 kwa wiki
150,000 x4 = 600,000
Hivyo makato yake yatakuwa laki 2 lakini yeye anazalisha laki nne zaidi kwa mwezi. Hivyo maumivu ya mkopo hatoyapata kwa vile faida anayopata ni mara mbili zaidi ya mkopo. Kwa mfano kama makato ni kwa miaka 5 = Marudisho yake Bank itakuwa milioni 12.
Hivyo kwenye biashara yake ndani ya mwaka tu atakuwa ametengeneza 600,000 x 12 = 7,200,000 Hivyo hapo ana uwezo wa kupunguza deni ndani ya mwaka au anauwezo wa kuongeza pikipiki nyingine. Hivyo biashara yake itazidi kukuwa.
Na kama ataongeza pikipiki nyingine 3 atakuwa na uwezo wa kulipa deni lote Bank ndani ya miaka 2 kwa maana atakuwa na pikipiki 6 ambapo kwa mwezi atakuwa na 1,200,000 x 12 = 14,400,000. Kwa mtizamo wangu atakuwa na uwezo wa kumaliza deni lote ndani ya miaka 2 kwa vile atakuwa tayari kwenye makato yake ya mkopo atakuwa ameshakatwa 4,800,000 hivyo anao uwezo wa kumalizia 7,200,000 iliyobaki. [emoji120][emoji120][emoji120] Huu ni mtizamo wangu binafsi

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769][/b]
Yeap I respect JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha nikupe Experience yangu as Credit officer

Sheria inasema apply 1/3 katik mshahara wa mtumishi hii imekuja baada ya watumishi mwanzo walikua wanakopa sana kupindukia mpk kufanya washindwe timiza wajibu wao mtu anakop abaki na kitu mpk nauli ya kwenda kazini hana ivyo serikali ikapitisha sheria hii.

525,000/3=175,000

Take home -1/3 Answer
441,000-175,000=266,000

Inamaana mkopo unaoweza kupata bank yoyote inabidi uwe na Makato ya sh 266,000 kushuka chini.

Ukichukua mkopo wa makato ayo inamaana mshahara utakao kua unachukua baada ya makato ya bank ni 175,000 kila mwezi mpk mkopo utakapo isha inategemea na muda wa mkopo labda miezi 6,12,24,36,48,60,72 au 84.

Swali linakuja utaweza ishi kwa iyo pesa 175k kila mwezi kukushi gharama za maisha au tu assume umekubali wakati 260k means 6000 itabaki je unaweza ishi kwa 200k kila mwezi kukidhi maisha yako? Kula, kuvaa, Nauli ya kwenda kituo cha kazi, kodi kulipa na Maji, mzazi akiwa na shida kidogo utaweza msaidia?

USHAURI

1.Kama unataka kukopa nakushauri ufikilio ilo la juu nlilo kuuliza ukipata majibu naomba uchukue mkopo mfupi wa miaka 3-4 alafu makato atleast usizidishe 120k komea apo uone unapata kiasi gani
Muulize afisa mikopo kwa kato la 120k miaka 3 (miezi 36) unapata kiasi gani na miaka 4 (miezi 48) unapata kiasi gani.

2.Taasisi ya kukopa, hapa zipo taasisi nyingi sana zenye riba kubwa na ndogo mfano uliwai jiuliza TPA, TRA kwanini hawakopi kwenye mabank husika ? Jibu ni kua wana SACCOS zao zinazotoza riba Nafuu sana mfano TRA SACCOS wana liba ya 11% kwa mwaka ndio maana hauwezi kuwaona wanaenda kukopa kwenye mabank yenye riba za 15%-20%.

Nakushauri ukitaka kopa fanya reserch ya bank kama tano kulinganisha unafuu wa riba kwakua riba zinatofautiana na kwa maana iyo ina maana kato la 120k kwa muda labda wa miezi 36 mfano NMB na CRDB utapata pesa tofauti sana kwakua
Riba zao ziko tofauti.
Ila hapa naomba nkushauri kama unataka mkopo katika sehemu uliyopo watafute BOA bank kwa sasa ni best of all kwani wao wana riba ya 9% uku Bank nyingine mfano CRDB,Akiba, Access,NMB etc wana 16%, 17%, 18%,20% nk

Usikope katika SACCOS za walimu, Taasisi ndogo ndogo za fedha kama Bayport, Tunakopesha limited, Platinum Credit limited, Fanikiwa,Faidika,Maboto,Banc ABC.
Hizi taasisi zitakupelekea ujute kukopa katika maisha yako wana riba kubwa sana mfano kuna taasisi apo zina riba ya 36%,45%,48% na nyingine 50% sijataka kuzisema kua riba hii ni ya taasisi fulani kuepuka sema nawaharibia biashara na kwa kato ilo la 120k ukienda kwao unaweza ambiwa unapata 2-3M kwa miezi ata 48 uku ukienda Bank kwa kato ilo miezi 48 unaweza pata 6-9M.
Taasisi hizi huwa na tabia ya kuja ofisini kwa mtumishi wanafanya presentation kwa ahadi ya kupata mkopo kwa masaa 24.

3. Mahesabu ya Riba au Rejesho utakalo kua unadaiwa.
Kutaka kujua Rejesho lako kwa taasisi husika tunafanya ivi
Mfano: Nitakatwa 120k kila mwezi kwa muda wa miezi 48 inamaana apo kiwango unachobidi urejeshe ni,
120,000*48= 5,760,000
Unaangalia mkopo ulio chukua mfano 4,900,000
Hivyo 5,760,000-4,900,000=860,000
Hii 860,000 ndio riba ya mkopo wako kwa muda wote.

4. Usikope pesa nyingi kuanzisha biashara tunashauri watu wakope kuendeleza biashara na si kuanza biashara kwa nini?
Kuendeleza biashara ni rahisi kwakua changamoto za biashara yako unazijua vizuri ila kuanza biashara haujui soko lako uhimala wake mfano ukikopa pesa na yote uweke kwenye mzunguko na biashara ikaenda vibaya, mzigo ukiharibika, mzigo ukiibiwa au wanunuzi wakikosekana kulingana na hali iliyopo mfano kipindi hiki cha ugonjwa wa dunia unafikili wangapi wanafikilia kujenga ilihali hawaijui kesho vyakula vikipanda bei au wakitangaza lockdown hakuna kwenda makazini biashara yako itakua mahala pabaya kwakua hakuna wa kununua bidhaa yako ya cement kujenga watu watakua wana spend kwenye kula na kunywa sana.

Hivyo ukikopa mfano 6M weka 3M yaani nusu ya pesa ubaki na balance ya 3M uku ukisoma biashara taratibu sana hii ni kwa biashara inayo anza kuishi maisha ya msoto kwa mshahara nusu wa 200k mpk 250k kila mwezi sio kitu kidogo na hii ni life process itakayokuchukua miaka 3-4

NB Tafuta kuna uzi hunu ndani unaoeleza jinsi watu mikopo ilivyo wafilisi na kuwarudisha nyuma kimaisha usikimbilie mkopo kama hauna elimu ya mkopo na kama hauna uhitaji usifanye jambo kwakua umeambiwa ni fursa chukua muda kudadavua vuzuri utakuja juta kama hauna plan b na ata kituo cha kazi unaweza kukiona kichungu ukakimbia kazi yenyewe kisa Madeni mengi.

Nina cases za walimu wengi walio kopa mikopo mambo yakaenda ndivyo sivyo na Mikopo iko kama Mashetani ukianza kopa hautokuja acha kamwe maishani utakopa mpaka unajikutaumekua mzoefu yani Salary slip unakuta makato taasisi kama 5 ivi bado wale wa Cash unakuta mtu anapokea mpk elfu 80k kwa mwezi kutoka laki 480k uko alafu anamadeni mtaani anabaki na 50K apo anaon bora ajichanganye kuwa boda boda tu.
Mfano kuna jamaa nliwai mkopesha pesa anapokea 75k alafu ni muhasibu wa Mahakama asee mpk nlikua nashangaa uyu jamaa anaishi vipi na apo ana mke na mtoto mchanga afu jamaa alikua anapiga maji sana aya maish ni full stress tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani broo umefafanua vizuri mno. Nakupa big up sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mtu anapotaka kuchukua mkopo ni bora aconsider mkopo atakaochukua hata kama ni kiwango kidogo na kama itakuwa ni kwa ajili ya kufanyia biashara basi ahakikishe faida anayopata kwenye hiyo biashara kwa mwezi izidi kiwango cha makato yake:
Mfano amechukua mkopo milioni 7, labda aanzishe biashara ya boda boda. Kwenye mkopo makato yake labda ni laki 2.
Hivyo kama ataanzia na boda boda 3, wiki atapata 50 elfu kwa kila boda boda hivyo inakuwa
50,000 x 3 = 150,000 kwa wiki
150,000 x4 = 600,000
Hivyo makato yake yatakuwa laki 2 lakini yeye anazalisha laki nne zaidi kwa mwezi. Hivyo maumivu ya mkopo hatoyapata kwa vile faida anayopata ni mara mbili zaidi ya mkopo. Kwa mfano kama makato ni kwa miaka 5 = Marudisho yake Bank itakuwa milioni 12.
Hivyo kwenye biashara yake ndani ya mwaka tu atakuwa ametengeneza 600,000 x 12 = 7,200,000 Hivyo hapo ana uwezo wa kupunguza deni ndani ya mwaka au anauwezo wa kuongeza pikipiki nyingine. Hivyo biashara yake itazidi kukuwa.
Na kama ataongeza pikipiki nyingine 3 atakuwa na uwezo wa kulipa deni lote Bank ndani ya miaka 2 kwa maana atakuwa na pikipiki 6 ambapo kwa mwezi atakuwa na 1,200,000 x 12 = 14,400,000. Kwa mtizamo wangu atakuwa na uwezo wa kumaliza deni lote ndani ya miaka 2 kwa vile atakuwa tayari kwenye makato yake ya mkopo atakuwa ameshakatwa 4,800,000 hivyo anao uwezo wa kumalizia 7,200,000 iliyobaki. [emoji120][emoji120][emoji120] Huu ni mtizamo wangu binafsi

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769][/b]

Hesabu za darasani na za mazingira halisi ziko tofauti apo umeassume other factor remain constant kama Service za pikipiki, pikipiki kuibiwa, ajali, uchakavu wa pikipiki itafikia mahala utaiuza ata kwa laki 8 izi factor zote wewe hauja ziweka apo.

Njo kwenye reality sasa unazan utapata madereva wote wahaminifu walete izo pesa kwa wakati?
Ulicho ongea ni kweli kwenye
Kudetermine credit worthness of borrower tunaangalia kitu kinaitwa

Repayment Capacity(RC)
Net profit of bzns( NB)
borrower living expenses (BL)

RC=NB-BL

Baada ya hesabu hii hapa tunalinganisha sasa rejesho la mteja kila mwezi labda alibidi arudishe 120k@week
Tunapima sasa kwa mfano wako wa pikipiki (3) uyu mtu anazalisha 150k each week je anategemea biashara hii pia kwa matumizi mengine? Jibu kama ni ndio tunaangalia kila week anatoa pesa kiasi gani katika faida ya biashara mfano anatoa 10k ya services ndogo pikipiki zote, anategemea pesa ya kula hapa hapa kwenye hii biashara kama elfu 40 anatoa kila week kwaiyo jumla ya matumizi yake ni 50k so

RC=150k-(pesa ya kula + ela ya service za pikipiki)
=150k-(40k+10k)
=150k-50k
=100k
Kwaiyo unaona uwezo wa mteja kurudisha mkopo kila week ni 100k ila kumbuka anataka mkopo mkubwa ambao ataitaji rejesho la 120k hivyo hapa Credit officer ana option 2
Either kumsgauri mteja achukue mkopo wenye kato la chini (yaani apunguze kiwango cha mkopo) au anacancel mchakato mzima kwa kutompa mkopo mteja sababu ni

Mteja atakua hana uwezi wa kurejesha pesa kila week.
Rejesho la taasisi ni 120k
Uwezo wa mteja ni 100k

Inamaana kuna uhaba wa 20k kila week hivyo mkopo unaweza usilipike kikamilifu.
Afisa mikopo wengi hawazingatii hii kanuni kwakua wao wanacho jali ni kufikisha target na ndio maana muda mwingi wanapata wakopaji wabaya na sugu wa kulipa madeni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mh ! Naaam
Hesabu za darasani na za mazingira halisi ziko tofauti apo umeassume other factor remain constant kama Service za pikipiki, pikipiki kuibiwa, ajali, uchakavu wa pikipiki itafikia mahala utaiuza ata kwa laki 8 izi factor zote wewe hauja ziweka apo.

Njo kwenye reality sasa unazan utapata madereva wote wahaminifu walete izo pesa kwa wakati?
Ulicho ongea ni kweli kwenye
Kudetermine credit worthness of borrower tunaangalia kitu kinaitwa

Repayment Capacity(RC)
Net profit of bzns( NB)
borrower living expenses (BL)

RC=NB-BL

Baada ya hesabu hii hapa tunalinganisha sasa rejesho la mteja kila mwezi labda alibidi arudishe 120k@week
Tunapima sasa kwa mfano wako wa pikipiki (3) uyu mtu anazalisha 150k each week je anategemea biashara hii pia kwa matumizi mengine? Jibu kama ni ndio tunaangalia kila week anatoa pesa kiasi gani katika faida ya biashara mfano anatoa 10k ya services ndogo pikipiki zote, anategemea pesa ya kula hapa hapa kwenye hii biashara kama elfu 40 anatoa kila week kwaiyo jumla ya matumizi yake ni 50k so

RC=150k-(pesa ya kula + ela ya service za pikipiki)
=150k-(40k+10k)
=150k-50k
=100k
Kwaiyo unaona uwezo wa mteja kurudisha mkopo kila week ni 100k ila kumbuka anataka mkopo mkubwa ambao ataitaji rejesho la 120k hivyo hapa Credit officer ana option 2
Either kumsgauri mteja achukue mkopo wenye kato la chini (yaani apunguze kiwango cha mkopo) au anacancel mchakato mzima kwa kutompa mkopo mteja sababu ni

Mteja atakua hana uwezi wa kurejesha pesa kila week.
Rejesho la taasisi ni 120k
Uwezo wa mteja ni 100k

Inamaana kuna uhaba wa 20k kila week hivyo mkopo unaweza usilipike kikamilifu.
Afisa mikopo wengi hawazingatii hii kanuni kwakua wao wanacho jali ni kufikisha target na ndio maana muda mwingi wanapata wakopaji wabaya na sugu wa kulipa madeni


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi Ni mzuri kuliko ule wa rikiboi una nondo zote ambazo hazifundishwi ofisini muajiriwa mpya anapaswa ajue
 
Hesabu za darasani na za mazingira halisi ziko tofauti apo umeassume other factor remain constant kama Service za pikipiki, pikipiki kuibiwa, ajali, uchakavu wa pikipiki itafikia mahala utaiuza ata kwa laki 8 izi factor zote wewe hauja ziweka apo.

Njo kwenye reality sasa unazan utapata madereva wote wahaminifu walete izo pesa kwa wakati?
Ulicho ongea ni kweli kwenye
Kudetermine credit worthness of borrower tunaangalia kitu kinaitwa

Repayment Capacity(RC)
Net profit of bzns( NB)
borrower living expenses (BL)

RC=NB-BL

Baada ya hesabu hii hapa tunalinganisha sasa rejesho la mteja kila mwezi labda alibidi arudishe 120k@week
Tunapima sasa kwa mfano wako wa pikipiki (3) uyu mtu anazalisha 150k each week je anategemea biashara hii pia kwa matumizi mengine? Jibu kama ni ndio tunaangalia kila week anatoa pesa kiasi gani katika faida ya biashara mfano anatoa 10k ya services ndogo pikipiki zote, anategemea pesa ya kula hapa hapa kwenye hii biashara kama elfu 40 anatoa kila week kwaiyo jumla ya matumizi yake ni 50k so

RC=150k-(pesa ya kula + ela ya service za pikipiki)
=150k-(40k+10k)
=150k-50k
=100k
Kwaiyo unaona uwezo wa mteja kurudisha mkopo kila week ni 100k ila kumbuka anataka mkopo mkubwa ambao ataitaji rejesho la 120k hivyo hapa Credit officer ana option 2
Either kumsgauri mteja achukue mkopo wenye kato la chini (yaani apunguze kiwango cha mkopo) au anacancel mchakato mzima kwa kutompa mkopo mteja sababu ni

Mteja atakua hana uwezi wa kurejesha pesa kila week.
Rejesho la taasisi ni 120k
Uwezo wa mteja ni 100k

Inamaana kuna uhaba wa 20k kila week hivyo mkopo unaweza usilipike kikamilifu.
Afisa mikopo wengi hawazingatii hii kanuni kwakua wao wanacho jali ni kufikisha target na ndio maana muda mwingi wanapata wakopaji wabaya na sugu wa kulipa madeni


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sawa kwa mtazamo wako. Lakini kwasasa watu wanafanya biashara ki mikataba.

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Elimu nzuli sana
Congratulations bloo
Wacha nikupe Experience yangu as Credit officer

Sheria inasema apply 1/3 katik mshahara wa mtumishi hii imekuja baada ya watumishi mwanzo walikua wanakopa sana kupindukia mpk kufanya washindwe timiza wajibu wao mtu anakop abaki na kitu mpk nauli ya kwenda kazini hana ivyo serikali ikapitisha sheria hii.

525,000/3=175,000

Take home -1/3 Answer
441,000-175,000=266,000

Inamaana mkopo unaoweza kupata bank yoyote inabidi uwe na Makato ya sh 266,000 kushuka chini.

Ukichukua mkopo wa makato ayo inamaana mshahara utakao kua unachukua baada ya makato ya bank ni 175,000 kila mwezi mpk mkopo utakapo isha inategemea na muda wa mkopo labda miezi 6,12,24,36,48,60,72 au 84.

Swali linakuja utaweza ishi kwa iyo pesa 175k kila mwezi kukushi gharama za maisha au tu assume umekubali wakati 260k means 6000 itabaki je unaweza ishi kwa 200k kila mwezi kukidhi maisha yako? Kula, kuvaa, Nauli ya kwenda kituo cha kazi, kodi kulipa na Maji, mzazi akiwa na shida kidogo utaweza msaidia?

USHAURI

1.Kama unataka kukopa nakushauri ufikilio ilo la juu nlilo kuuliza ukipata majibu naomba uchukue mkopo mfupi wa miaka 3-4 alafu makato atleast usizidishe 120k komea apo uone unapata kiasi gani
Muulize afisa mikopo kwa kato la 120k miaka 3 (miezi 36) unapata kiasi gani na miaka 4 (miezi 48) unapata kiasi gani.

2.Taasisi ya kukopa, hapa zipo taasisi nyingi sana zenye riba kubwa na ndogo mfano uliwai jiuliza TPA, TRA kwanini hawakopi kwenye mabank husika ? Jibu ni kua wana SACCOS zao zinazotoza riba Nafuu sana mfano TRA SACCOS wana liba ya 11% kwa mwaka ndio maana hauwezi kuwaona wanaenda kukopa kwenye mabank yenye riba za 15%-20%.

Nakushauri ukitaka kopa fanya reserch ya bank kama tano kulinganisha unafuu wa riba kwakua riba zinatofautiana na kwa maana iyo ina maana kato la 120k kwa muda labda wa miezi 36 mfano NMB na CRDB utapata pesa tofauti sana kwakua
Riba zao ziko tofauti.
Ila hapa naomba nkushauri kama unataka mkopo katika sehemu uliyopo watafute BOA bank kwa sasa ni best of all kwani wao wana riba ya 9% uku Bank nyingine mfano CRDB,Akiba, Access,NMB etc wana 16%, 17%, 18%,20% nk

Usikope katika SACCOS za walimu, Taasisi ndogo ndogo za fedha kama Bayport, Tunakopesha limited, Platinum Credit limited, Fanikiwa,Faidika,Maboto,Banc ABC.
Hizi taasisi zitakupelekea ujute kukopa katika maisha yako wana riba kubwa sana mfano kuna taasisi apo zina riba ya 36%,45%,48% na nyingine 50% sijataka kuzisema kua riba hii ni ya taasisi fulani kuepuka sema nawaharibia biashara na kwa kato ilo la 120k ukienda kwao unaweza ambiwa unapata 2-3M kwa miezi ata 48 uku ukienda Bank kwa kato ilo miezi 48 unaweza pata 6-9M.
Taasisi hizi huwa na tabia ya kuja ofisini kwa mtumishi wanafanya presentation kwa ahadi ya kupata mkopo kwa masaa 24.

3. Mahesabu ya Riba au Rejesho utakalo kua unadaiwa.
Kutaka kujua Rejesho lako kwa taasisi husika tunafanya ivi
Mfano: Nitakatwa 120k kila mwezi kwa muda wa miezi 48 inamaana apo kiwango unachobidi urejeshe ni,
120,000*48= 5,760,000
Unaangalia mkopo ulio chukua mfano 4,900,000
Hivyo 5,760,000-4,900,000=860,000
Hii 860,000 ndio riba ya mkopo wako kwa muda wote.

4. Usikope pesa nyingi kuanzisha biashara tunashauri watu wakope kuendeleza biashara na si kuanza biashara kwa nini?
Kuendeleza biashara ni rahisi kwakua changamoto za biashara yako unazijua vizuri ila kuanza biashara haujui soko lako uhimala wake mfano ukikopa pesa na yote uweke kwenye mzunguko na biashara ikaenda vibaya, mzigo ukiharibika, mzigo ukiibiwa au wanunuzi wakikosekana kulingana na hali iliyopo mfano kipindi hiki cha ugonjwa wa dunia unafikili wangapi wanafikilia kujenga ilihali hawaijui kesho vyakula vikipanda bei au wakitangaza lockdown hakuna kwenda makazini biashara yako itakua mahala pabaya kwakua hakuna wa kununua bidhaa yako ya cement kujenga watu watakua wana spend kwenye kula na kunywa sana.

Hivyo ukikopa mfano 6M weka 3M yaani nusu ya pesa ubaki na balance ya 3M uku ukisoma biashara taratibu sana hii ni kwa biashara inayo anza kuishi maisha ya msoto kwa mshahara nusu wa 200k mpk 250k kila mwezi sio kitu kidogo na hii ni life process itakayokuchukua miaka 3-4

NB Tafuta kuna uzi hunu ndani unaoeleza jinsi watu mikopo ilivyo wafilisi na kuwarudisha nyuma kimaisha usikimbilie mkopo kama hauna elimu ya mkopo na kama hauna uhitaji usifanye jambo kwakua umeambiwa ni fursa chukua muda kudadavua vuzuri utakuja juta kama hauna plan b na ata kituo cha kazi unaweza kukiona kichungu ukakimbia kazi yenyewe kisa Madeni mengi.

Nina cases za walimu wengi walio kopa mikopo mambo yakaenda ndivyo sivyo na Mikopo iko kama Mashetani ukianza kopa hautokuja acha kamwe maishani utakopa mpaka unajikutaumekua mzoefu yani Salary slip unakuta makato taasisi kama 5 ivi bado wale wa Cash unakuta mtu anapokea mpk elfu 80k kwa mwezi kutoka laki 480k uko alafu anamadeni mtaani anabaki na 50K apo anaon bora ajichanganye kuwa boda boda tu.
Mfano kuna jamaa nliwai mkopesha pesa anapokea 75k alafu ni muhasibu wa Mahakama asee mpk nlikua nashangaa uyu jamaa anaishi vipi na apo ana mke na mtoto mchanga afu jamaa alikua anapiga maji sana aya maish ni full stress tu


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom