Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
Jambo la kushukuru Mungu sana maana hali ilikuwa tete sana.
Mbali ni vifo vingi vya mifugo pia hata vyanzo vingi vya maji vilikuwa vishaanza kukauka.
Hatari kwa kibinadamu pia ilikuwa inatunyemelea maana hata vifo vingetokea kwanza kutokana na jua kuwa kali na pia ukosefu wa chakula.
Hii itakuwa pia furaha kwa wafugaji na wakulima
Ardhi ilikuwa kavu sana lakini jana na leo tumeona mvua
Mbali ni vifo vingi vya mifugo pia hata vyanzo vingi vya maji vilikuwa vishaanza kukauka.
Hatari kwa kibinadamu pia ilikuwa inatunyemelea maana hata vifo vingetokea kwanza kutokana na jua kuwa kali na pia ukosefu wa chakula.
Hii itakuwa pia furaha kwa wafugaji na wakulima
Ardhi ilikuwa kavu sana lakini jana na leo tumeona mvua