Mikoa maskini zaidi yatajwa

Mikoa maskini zaidi yatajwa

Makamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
wahaya wengi wanaishi maisha ya kuigiza!!!, alafu wahaya wengi sio wajasiria mali,wengi wao wanapenda kuajiriwa,,,,,sasa utawakuta wengi kwenye mashirika ya serikali kama
Kagera wilaya kama ngara,biharamulo na misenyi ni wilaya maskini sana
tatizo la wahaya sio wajasiria mali,wanapenda sana kuajiriwa serikalini kama TRA n.k,pia wanapenda sana kuishi ULAYA,wengi wa wahaya waliofanikiwa wako ULAYA,,,,,,wanajiona wazungu ndio maana wakiongea kidogo wanaingiza kimombo!!!!,,,,sasa wanaobaki bukoba ni wale choka mbaya manake wengi kama hawapo bukoba basi wapo arusha ,kilimanjaro au dsm....sasa serikali inapofanya takwimu za hali ya maisha wanaenda kukutana na wahaya makombo,,,
 
Kwaaaakweeeriiiiiiiiiiiiiiiiiii hiii ripotiiiiiiiiiiiiii ni fwekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisaaaa , infwacht yaani Bukoba tunakuwa wa kwanza kwa umasichiniiiii eeeehhhhhh hapana jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii haiwezekani na mapurofesa wooote wa havard na masachuset wariojaa kure kwenye mikahawa then mtyu anakuja na kaaaakipeperushiii kanaitwa ripoti ,kanatudhalilisha. Kwanza watuambie ERimu za hao watafwitiii STUPID kabisa BHukobaaa tuko juu No matter what
 
Huwa siamini kuwa Kagera inapitwa na Pwani na Lindi
Mkuu,

Lindi siku hizi tumeamka Sana.

Tuna misimu ya mazao Kama Sita kwa mwaka inayotufanya tutoke kwenye umasikini wa kutupwa.

Tuna msimu wa mahindi,
Msimu wa kunde,
Msimu wa ufuta,
Msimu wa mbaazi,
Msimu wa korosho,
Na mwisho kabisa msimu wa maembe ambayo kuanzia mwezi wa kumi Hadi wa 12 tunalisha miji mikubwa Kama Dar na Sasa hivi Bahresa ananumua Sana. Si umewahi kusikia "haya ni maembe ya kusini?" Basi ndiyo sisi.

Pia kwa. Maeneo yenye maji ya kutosha tunalima Sana nyanya na vitunguu ambavyo tunalisha mtwara,masasi na Dar es salaam.

Alafu Kuna mgodi wa Namungo ambao upo Ruangwa,unawanufaisha wananchi na kuongeza mzunguko wa hela maana Kuna wageni wengi Sana Sasa hivi. Rungwa inafikika kwa barababrayya lami na Kuna mahoteli kadhaa ya ghorofa yanayoupendezesha mji.

2025 nikigombea ubunge nikapita ndiyo naenda kuibadilisha moja kwa moja Lindi.

Kwa hiyo Lindi haiwezi kuwa katika hiyo list ya Kigoma,Kagera na Tabora.
 
Kila ripoti inayotoka kuhusu umasikini kagera hawachomoki,mi sielewi wachumi hutumia vigezo gani?kuhusu Kigoma na Tabora hilo halishangazi tena nadhani ni masikini duniani
Mi hata kigoma nina wasiwasi maana katika safar yangu ya maisha waha ndio vijana wanafuatia wakinga kupambana. Sema hizo jamii kwao hawajengi coz ya uchawi lakin wako vizur
 
Back
Top Bottom