Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,209
- 54,466
Makamu wa Raisi amesema umasikini upo vijijini zaidi.Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni Kagera,Tabora na kigoma.Inakuaje Kagera nayo inakua hapo na wasomi wengi?
Umeitoa dodoma, pamoja na serikali kuhamia hapo bado wenyej hawachangamki.