luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,709
- 8,918
Mm Nina uwezo WA kukuajiri Wewe na família Yako yotesasa unazi wa nn wakati familia yako ipp kweny hao 10%?
Ebu tafuta pesa upunguze kujieleza!
Mm Nina uwezo WA kukuajiri Wewe na família Yako yotesasa unazi wa nn wakati familia yako ipp kweny hao 10%?
Ebu tafuta pesa upunguze kujieleza!
Kwahyo wilayan n eneo la stand tu? Hakuna maeneo nearby?kijjiji kipi maana hata hekalu la mkapa lipo kijijini unaijua irente view je ipo mjini?
umeona stendi hapo ?
😂😂😂hapo kijijini jombaKwahyo wilayan n eneo la stand tu? Hakuna maeneo nearby?
Natáka vijijini local siyo wilayani
swala la umaskini nalo ni kadri ya vigezo watu walivyoviweka.Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesema umasikini upo vijijini zaidi. Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni
View attachment 2577029
- Kigoma,
- Singida,
- Tabora,
- Dodoma,
- Kagera.
Inakuaje Kagera nayo inakuwa hapo na wasomi wengi?
Sio aina ya maisha yao? Kama inadaiwa haiwafanyi kazi, basi hata mwili hautakuwa ukishikwa na njaa hasa ikiwa muda mwingi ni kulala na kukaa.Chai saa 9 alasiri na chakula kikuu ni saa 2 hapo tayari miwili
Dodoma mjini ni wilaya moja ya mkoa, Sasa kama sehemu kubwa ya mkoa hakuna maendeleo, inalazimisha mkoa mzima kuwa masikini.ndio ni vijiji vinazungumziwa, mijini hatuna shida nako
Marekani ya wapi bana ilikuwa zamani,hao walishazeeka,wamestaafu au wamekufa,ila bro kumbuka kuna kitu kinaitwa remintesMkuu wenye majumba siyo wananchi wa Kagera unaposikia wanazungumzia umasikini ni wananchi wanaishi mkoa uliotajwa, je hayo majumba wamiliki wake ni wakazi wa Kagera? au wamiliki wake wanaishi Marekani?
Kama nalala kwenye hekalu nakula vizuri watoto wanasoma mimi sio masikini broKigezo cha umaskini sio kujenga tu Bro!
Hujafika bukoba vijijini,karagwe na misenyi,kaburi tuunajenga chumba na sebureWahaya hawajengi ila kwa wachaga sawa
Mbona hata wagogo nao wapoWasomi hawajasaidia Nshomile [emoji2957][emoji2957]
Kinacho ondoa umasikini katika jamii sio elimu bali aridhi mkoa wa kagera hauna aridhi ya kilimo cha biashara mfano wilaya ngara Biharamulo mleba misenye bukoba viniji wilaya yenye aridhi ya kilimo 1 tu KaragweKwaaaakweeeriiiiiiiiiiiiiiiiiii hiii ripotiiiiiiiiiiiiii ni fwekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisaaaa , infwacht yaani Bukoba tunakuwa wa kwanza kwa umasichiniiiii eeeehhhhhh hapana jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii haiwezekani na mapurofesa wooote wa havard na masachuset wariojaa kure kwenye mikahawa then mtyu anakuja na kaaaakipeperushiii kanaitwa ripoti ,kanatudhalilisha. Kwanza watuambie ERimu za hao watafwitiii STUPID kabisa BHukobaaa tuko juu No matter what
Imefafanua kisomi kabisa watu walio wengi wanadhani mkoa kuwa na wasomi wengi ni kigezo cha kufuta umasikini katika jamii kumbe sivyo mfano mkoa wa kagera hauna aridhi ya kilimo sehemu kubwa ya aridhi hiyo ni mwamba milima vichuguu Karagwe tu ndiko kwenye aridhi ya kirimoMkuu,
Lindi siku hizi tumeamka Sana.
Tuna misimu ya mazao Kama Sita kwa mwaka inayotufanya tutoke kwenye umasikini wa kutupwa.
Tuna msimu wa mahindi,
Msimu wa kunde,
Msimu wa ufuta,
Msimu wa mbaazi,
Msimu wa korosho,
Na mwisho kabisa msimu wa maembe ambayo kuanzia mwezi wa kumi Hadi wa 12 tunalisha miji mikubwa Kama Dar na Sasa hivi Bahresa ananumua Sana. Si umewahi kusikia "haya ni maembe ya kusini?" Basi ndiyo sisi.
Pia kwa. Maeneo yenye maji ya kutosha tunalima Sana nyanya na vitunguu ambavyo tunalisha mtwara,masasi na Dar es salaam.
Alafu Kuna mgodi wa Namungo ambao upo Ruangwa,unawanufaisha wananchi na kuongeza mzunguko wa hela maana Kuna wageni wengi Sana Sasa hivi. Rungwa inafikika kwa barababrayya lami na Kuna mahoteli kadhaa ya ghorofa yanayoupendezesha mji.
2025 nikigombea ubunge nikapita ndiyo naenda kuibadilisha moja kwa moja Lindi.
Kwa hiyo Lindi haiwezi kuwa katika hiyo list ya Kigoma,Kagera na Tabora.
wengi bado sana wanafikiria elimu inatosha pekeeImefafanua kisomi kabisa watu walio wengi wanadhani mkoa kuwa na wasomi wengi ni kigezo cha kufuta umasikini katika jamii kumbe sivyo mfano mkoa wa kagera hauna aridhi ya kilimo sehemu kubwa ya aridhi hiyo ni mwamba milima vichuguu Karagwe tu ndiko kwenye aridhi ya kirimo
Waha wengi bado ni masikini wala usiwalinganishe na wakinga mkoa wa kugoma hauna mazao ya biashara kulinganisha na njombe na makete na makambako mkoa wa njombeMi hata kigoma nina wasiwasi maana katika safar yangu ya maisha waha ndio vijana wanafuatia wakinga kupambana. Sema hizo jamii kwao hawajengi coz ya uchawi lakin wako vizur
Sio kweli chanzo cha umasikini kwa mikoa kama kagera kigoma msoma nk ni ukosefu wa aridhi unao sababisha wananchi wakakosa kulima kilimo cha biasharaKuna mtu kasema umaskini unaletwa na mabadiliko ya tabia ya nchi
Mambo mbona kama kizunguzungu kila takwimu mbaya yoyote hile mkoa wangu pendwa wa wakinanshomile huwa haukosi🤔Mbeya na njombe hizi hapa watoto wanakosa lishe Wana udumavu View attachment 2577368
Kijana wa hovyo Sana Wewe,katerero gulioni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2322][emoji2320]Siku ya Gulio Katerero...