Mikoa maskini zaidi yatajwa

Mikoa maskini zaidi yatajwa

Sioni tofauti ya hali ya maisha ktk mikoa hiyo na mikoa kama Mbeya, Pwani, Mtwara, Lindi, Tanga, Shnyanga, Katavi, Rukws, Simiyu, n.k
Huo ndio ukweli wenyewe. Mkoa wa Kagera na Kigoma haina umasikini huo unaosemwa ukilinganisha na mikoa mingine. Mikoa hii inalima kahawa kama zao la biashara na wana chakula cha kutosha uje uilinganishe na mikoa kama Lindi, Mtwara, Pwani, Dodoma, Singida, Tabora, Mara na Shinyanga? Hizi tafiti zingine wanaozifanya hua hawaelewi kile wanachofanya.
 
Huo ndio ukweli wenyewe. Mkoa wa Kagera na Kigoma haina umasikini huo unaosemwa ukilinganisha na mikoa mingine. Mikoa hii inalima kahawa kama zao la biashara na wana chakula cha kutosha uje uilinganishe na mikoa kama Lindi, Mtwara, Pwani, Dodoma, Singida, Tabora, Mara na Shinyanga? Hizi tafiti zingine wanaozifanya hua hawaelewi kile wanachofanya.
Kuna ubabaishaji na ajenda ya Siri ktk taifiti hizi.
 
Bado mshamba ndo kuna nn hapo[emoji23][emoji23][emoji23]nenda hata lushoto utaona hizo nyumba katikati hapo kitivo na watu wanakunywa mapombe ya kienyeji ...Nenda usawa wa nyuma ya chuo cha Mahakama (IJA)


kawaida sana yaani yaani hamna maajabu then punguza sana kujitetea
Hebu post kule porini kwenu ibadakuli
 
Kwani unadhani wanavijiji wote Wana hayo majumba? Ni sawa tuu na Kagera Wasomi wamejenga Vijijini lakini wako Mjini Kwa hiyo hayo majumba yanaoza tuu hayaingizi pesa Wala hayafanyi chochote ndio maana biashara kubwa Rombo huko ni Chang'aa..

Mikoa kama Mbeya,Iringa,Njombe watu huko Vijijini Wana uhakika wa chakula hawasubilii kuomba Kwa watu wa Mjini kiasi kwamba Gini Coefficient sio kubwa kama huko kwenu na ndio maana tuko Juu Kwa stable income.
Wewe hutaki tujenge kwetu?
Mko Juu kwa evidence ipi?
Takwimu currently zinautaja mkoa WA Kilimanjaro kuwa WA pili kitaifa wananchi wake kuwa na per capita income kubwa
(Individual)
Makazi bora vijijini kwa 90% Sasa hizo zako zinathibitishwa vipi?
Mbeya njombe BDO Kuna nyumba za nyasi
Kilimanjaro Kila mwananchi Ana uhakika WA kula that's why imekuwa ya pili
Mikoa yenu ya kusini ndio Ina udumavu WA watoto Sasa sijui hicho chakula kinawanufaishaje
Nb
Kilimanjaro tupo kotekote mikoani tupo na nyumbani pia tupo,ndio maana mkoa n WA 5 kuchangia GDP Sasa kungekuwa hakuna watu hyo GDP ingepatikanaje
 
Mbona alishakufaga kitambo Mkuu na kazikwa huko karagwe...na kwao kajenga mjengo mzr tu ambayo hata masaki unazitafuta kwa tochi....
Sasa yeye kama hafanyi kazi huko ataendaje tena?


Tatizo mnaongea kwa hisia sana juu ya wahaya...ni lini wahaya wakakusanya kodi? Ni kabila ndo linajenga miundombinu ? Kama ni kabila ni wap huko kabila likajenga barabara nk

By the way izo ni takwimu za serikali kuhusu mapato yao ya serikali na contribution ya population katika mapata hayo...GDP per capita...
Lakin kiuhalisia ukienda huko uhayani hakuna umaskimi kiasi hicho...wew uliwahi sikia watu wa kagera wanaomba chakula? Wanaomba muwasaidie mahitaji muhimu? Ushawahi sikia njaa kagera?
Kuna udumavu
1676389990311.jpg
 
Yaani ukitoa Kilimanjaro, mikoa mingine ya Tanzania ni majanga matupu kwa sehemu kubwa. Kiujumla kwa sehemu kubwa ya nchi kuna harufu kali ya umaskini. Bado kuna kazi kubwa ya kufanya. Serikali izidi kupambana sana kwenye miundombinu, kilimo na elimu. Watu wengi wakipata elimu bora watapambana kujikwamua. Hata Kilimanjaro walitanguliza elimu ndo maana wako hapo walipo.
umepita mbeya, jombe au umekariri stori
 
Back
Top Bottom