Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,030
- 40,096
😂😂😂😂kwani kijijini ni wapi na lushoto ni wilaya ya Tanga ,umeona stendi ya mabasi hapo?Acha ujuha hapo syo kijijini
😂😂😂😂kwani kijijini ni wapi na lushoto ni wilaya ya Tanga ,umeona stendi ya mabasi hapo?Acha ujuha hapo syo kijijini
Ni kweli wananchi wa Tabora, Kigoma na Singida hawapendi kazi ngumu?
Kuna watu wachakarikaji kama waha, wanyaturu, wanyiramba na wanyamwezi?
Hawa watu wanaangushwa na ardhi isiyo na rutuba na ukama lakini wanalima sana na kuvuna kidogo.
Ni kweli muhaya hapendi kazi ngumu lakini hawafiki watu wa Pwani wapiga tarumbeta na umbea.
Nado najiuliza Pwani mbona watu hahe hohe kuliko bara lakini hawapo kwenye orodha?
Naongea kwa uzoefu...nimeishi Pwani miaka mingi kuliko mikoa mingine...hao jamaa hufanya kazi kwa kulazimishwa na migambo na wana mlo mkuu mmoja plus chai ya saa 9 alasiri nfio imetoka hivi
Japo niliongelea Pwani kama mkoa na sio ukanda au DarUkiongelea mkoa wa pwani na dsm,sio mikoa tena ya wazaramo hiyo ni mikoa ya taifa yani kila jamii kwa sasa ipo mikoa hiyo ndio mana inaonekana ipo juu kiuchumi,pia kumbuka ndio mikoa inayoongoza kwa viwanda.
Mjinga mmojawapo ni wewe😂Tanzania Wajinga Ni Wengi Sana
By Godwin Mollel View attachment 2577344View attachment 2577345View attachment 2577345View attachment 2577345View attachment 2577345View attachment 2577345View attachment 2577345View attachment 2577344View attachment 2577345View attachment 2577346View attachment 2577345View attachment 2577346View attachment 2577344Dubai Ya Tanzania Ila JK Alituweza Wakati Anaondoka Alimwaga Maneno Halafu Huyo Mbio
Unafahamu maana ya marasmus?Mbona Kilimanjaro inaongoza kwa kiribatumbo...
Mbeya na njombe hizi hapa watoto wanakosa lishe Wana udumavuumepita mbeya, jombe au umekariri stori
Wewe una matatz nimesema 90% hakuna kitu perfect hâta USA maskini wapomara 90% mara 100% hueleweki tafuta pesa
Iringa ufupi ule kumbe udumavu?Mbeya na njombe hizi hapa watoto wanakosa lishe Wana udumavu View attachment 2577368
Hapo ni lushoto wilayani
Na mm nimemtoa baru analeta picha za wilayaniAcha ujuha hapo syo kijijini
Hapo ni lushoto town sio local Natáka maeneo local kama haya ya wachaga yalivyojengwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani kijijini ni wapi na lushoto ni wilaya ya Tanga ,umeona stendi ya mabasi hapo?
[emoji1][emoji1][emoji23]Siku ya Gulio Katerero...
Mkuu wenye majumba siyo wananchi wa Kagera unaposikia wanazungumzia umasikini ni wananchi wanaishi mkoa uliotajwa, je hayo majumba wamiliki wake ni wakazi wa Kagera? au wamiliki wake wanaishi Marekani?Mi pia nashangaa ila kuhusu majumba,kule migombani kuna mahekalu hatari utasema uko masaki
PerhapsIringa ufupi ule kumbe udumavu?
Jamaa wafupi ...first time nilitokea Mbeya kuja Iringa nilishangaa asubuhi napishana na watu road wote wafupi kimo kimoja nikajua ni wanafunzi kumbe ndio wazazi wenyewePerhaps
Wewe una matatz nimesema 90% hakuna kitu perfect hâta USA maskini wapo
Unaona nongwa nini? Ndo hvyo aliyejuu atabaki juu tu
kijjiji kipi maana hata hekalu la mkapa lipo kijijini unaijua irente view je ipo mjini?Hapo ni lushoto wilayani
Natáka vijijini Huko ndani ndani kama mm nolivyopost,nahitaki vijijin sio wilayan