Punguza makasiriko!
Nikipost code unaumia!?... Ama unauza odds!?

Nnae code ni mimi...anaumia mwingine!
Dah ..hii nchi ngumu aisee...

Ama hako kahela nakobetia kanakuuma?!

Elewa ukiliwa wewe ...sio wote wanaliwa!... Pambana na hali yako mkuu!..... Kumbe mipasho bado haijaisha humu!....

Haya sitapost tena mkuu ili usiendelee kuumia chief!
Choka bwana. Au kausha ufe mwenyewe huko, mipasho hatuachi, hela yako ila lazma tukuonee huruma.
 
Ww choko jukwaa hili halikuusu kama code mtu akituma siyo lazima kufwata piga kimya nenda jukwaa lingine jukwaa hili la wanaume lijali siyo wanao kaa kwa shemeji
Bora umempasha ukweli, yani sijamuelewa lengo lake, by the way anaonekana ana stress.
 
Hapo safi mkuu
Ni kukumbushana tu,kubet pesa yote ni risk sana
Kabisa kabisa mkuu, game ta mwisho niliweka under 4.5 ya milan vs inter, baada ya hapo nikakimbia kama mmasai. ila nilianza na 17K, so namshukuru Mungu kwakweli.

Nimeweka code leo hapo juu ya basketball, jana ua juzi ya football watu wazijaribu, huwezi jua.
 
Ww choko jukwaa hili halikuusu kama code mtu akituma siyo lazima kufwata piga kimya nenda jukwaa lingine jukwaa hili la wanaume lijali siyo wanao kaa kwa shemeji
Choko mwenyewe, Usiingilie vitu mwanaume akiongea utaliwa kigozi manyoya boya wewe.
Jukwaa la kila mtu, ww ukimfata unaishiwa nini, mimi nimemwambia yeye. Unawashwa nini. Alafu watu mliolawitiwa na baba zenu utotoni mnasumbua sana. Unawashwa
 
Screenshot_20240423-171002~2.png
 
Wakuu sorry anaejua jinsi ya kuwasiliana na paripesa .
Nimedeposit hela kitamboo ila salio halisomi?
 
Back
Top Bottom